Habarini wanajamiiforums,Nilikuwa ninashida moja nilikuwa nimetengeneza server kwa kutumia virtualbox server yenyewe ni ya Ubuntu servers,
sasa shida ni kwamba IP niliyoweka kama IP ambayo watu wa nje waweze kuaccess ile server ni 192.168.43.1 lakini mtu wa nje akiaccess haiwezi fungus, lakini nikifungua hiyo address kupitia computer yangu ambayo ni parent ya hiyo sever inaonesha content ambazo nataka zionekane.
Nimefuatilia wanasema sababu ni kwamba hiyo IP ni private IP natakiwa nipate public how can you help me?
sasa shida ni kwamba IP niliyoweka kama IP ambayo watu wa nje waweze kuaccess ile server ni 192.168.43.1 lakini mtu wa nje akiaccess haiwezi fungus, lakini nikifungua hiyo address kupitia computer yangu ambayo ni parent ya hiyo sever inaonesha content ambazo nataka zionekane.
Nimefuatilia wanasema sababu ni kwamba hiyo IP ni private IP natakiwa nipate public how can you help me?