Ericus Kimasha
JF-Expert Member
- Oct 27, 2006
- 488
- 470
Wanamchokonoa pweza, binadamu hawatomuweza!Chokochoko hizo
Wanamchokonoa pweza, binadamu hawatomuweza!Chokochoko hizo
Yericko Nyerere tafadhari toeni credits za kutosha kwenye huu utabiri wangu wa mwaka 2010!Ndibalema,
Nataka niweke rehani kujaribu udhaifu wa ubongo wangu kwa kubashiri lifuatalo:
- Zitto Zuberi Kabwe, kabla na baada ya uchaguzi, akiwa ameshinda au ameshindwa SI MWANACHAMA WA CHADEMA
Yericko Nyerere tafadhari toeni credits za kutosha kwenye huu utabiri wangu wa mwaka 2010!
cc: Ritz, shakeelshabani, BAK, Crashwise,Kitwange, Arushaone,Utingo
Ahsante sana.
Hata Mengi alipokwenda kuomba mkopo aanzishe kiwanda cha maji ya Kilimanjaro Benki za Kitanzania zilimwona mwendawazimu.
Mkuu yaliyopita si ndwele. kwa kweli sina shaka hata chembe. na naomba radhi kwa kauli ile naomba kufuta kauli.Mkulu Ndibalema,
Mzima Mkuu wangu, za takribani maika minne na ushee? .....Nakusalimia tu na kutaka kujua kama bado una mashaka na afya ya ubongo wangu!