Najua itawashangaza wengi, lakini ni kweli nahitaji majibu ya ufasaha yaliyotokana na tafakari ya kina juu ya swali hili:
- Zitto Zuberi Kabwe ni mgombea wa ubunge kupitia chama gani?
Sio tu imenishangaza bali pia imenipa mashaka na afya ya ubongo wako.Najua itawashangaza wengi, lakini ni kweli nahitaji majibu ya ufasaha yaliyotokana na tafakari ya kina juu ya swali hili:
- Zitto Zuberi Kabwe ni mgombea wa ubunge kupitia chama gani?
Sio tu imenishangaza bali pia imenipa mashaka na afya ya ubongo wako.
Ndiba,
Nataka niweke rehani kujaribu udhaifu wa ubongo wangu kwa kubashiri lifuatalo:
- Zitto Zuberi Kabwe, kabla na baada ya uchaguzi, akiwa ameshinda au ameshindwa SI MWANACHAMA WA CHADEMA
Siku zote MUDA ni HAKIMU mwenye HAKI katika kusema KWELi
Siku si nyingi, nitajua Kama katika kipimo cha rehani niliyoweka; NINA AKILI AU MAONO!
Mmmmh pole mpendwa nahisi the way unavyofeel kumoyo. Mwenye nimekuwa na mashaka na huyo kijana siku nyingi.Zitto, zitto. Watanzania wote kwa ujumla wao wameanza kuona langi langi za zito, wanamkumbuka toka pale kwa kafulila, wanamkumbuka pale alipowaacha watz akaenda zake German kusoma wanamkumbuka sana kudai uwenyekiti, wanamkumbuka sana kudai kuwa kiongozi wa kambi wa upinzani, nadhani anadhani ana nguvu sana Chadema, ila ajue kwa sasa yeye ni tone ndani ya Chadema. Natabiri siku moja ataleta mtafaruku mkubwa sana ndani ya chama, nadhani hapo ndipo anguko lake litakapo timu. Tunaona kama ana kivuli cha C.cm, . Tusisahau ni yeye aliye sababisha kafulila akawa Nccr, ni yeye aliyefanya Nccr kupata wale wabunge wanne tunajua. Nadhani wacha muda uwamue, yeye anadhani watz wapenda mageuzi hatujui, iko siku kivuli kile kitahoji.
kwani sasa hivi si inafaamika?