Srebrina
JF-Expert Member
- Jan 28, 2012
- 968
- 439
Msaada wadau simu yangu ilijilock kwa pattern sasa wakati nafungua nikakosea ikajifunga na ac ya gmail nikawa nimeisahau nikaamua kutumia app ya research download na pac file ya itel it1353 sasa wakati ipo kwenye process ya ku install iyo pac file ghafla ika fail sasa simu haidetect kwenye pc wala haiwaki hata kushtua na nikiweka chaji hakuna dalili yoyote kama inapeleka maana screen iko kimya, naombeni msaada wenu wakuu