Msaada kwenye app hizi za whatsapp

Msaada kwenye app hizi za whatsapp

Mie ninaitumia iko vizuri ila jinsi ya kufanya nitumie line mbili ndo mtihani

Uwezi tumia line mbili kwnye hyo hyo gbwhatsapp lazima uwe na whatsapp utkayodowload ktoka play store.....hapo kila whatsapp utweka no yake......
Mimi natumia whatsapp namba NNE kwa simu Moja ila siyo hiyo gbwhatsapp natumia whatsapp nyingne kabisa iko poa sana link hii
 
Uwezi tumia line mbili kwnye hyo hyo gbwhatsapp lazima uwe na whatsapp utkayodowload ktoka play store.....hapo kila whatsapp utweka no yake......
Kwnn hyo app isipatikane play store? Na Je nan mmiliki wa hyo app? Na He kam ya mmiliki Ni whatsApp kwann hyo update isipatikane play store kwa app ya whatsApp ynyw?

Majibu ya mswali hayo Ni ya msingi sana ili kuwa convince watu kukubaliana nawe mkuu
 
Mie ninaitumia iko vizuri ila jinsi ya kufanya nitumie line mbili ndo mtihani
Download parallel line. Utaweza kutumi 2;whatsapp play store. Ukiwa na whatsapp ya kawaida hupati shida no kuadi tu.
 
Back
Top Bottom