Mediocrist
JF-Expert Member
- Jan 27, 2015
- 1,694
- 926
Hayupo sahihi hawajasema uweke original certificate ila wanataka uweke copy ya original certificates ambayo umepeleka kwa mwanasheria ana piga mhuli wake unakuja una scann then una upload.Upo sahihi sana.
Hili ni kosa ambalo vijana tunashindwa kuelewa vitu vidogo kama hivi unashindwa zingatia mtu usipoitwa unasema umerogwa au unakuja sema UTUMISHI hawako fair wakati mchawi mwenyewe unabishana na vigezo sasa ukipewa kazi kweli utaweza kuifanya sitoi kejeli ila jaribu kuzingatia ulichoambiwa maana walishawahi kulizungumzia hilo UTUMISHI la vyeti na ku sign.kila la kheri