Msaada: Kwenye Ajira portal nimejaza bado inasoma 92% completed. Ni nini tatizo?

Sio lazima ifike 100% mkuu hata 70 inatosha...as long as taarifa muhimu zote zipo
 
vyeti vinafanyiwa certification na Wakili/mwanasheria kwa kugongwa muhuri wake

Vyet unavscan kwanza af vile ulivoscan ndio vnapgwa mhuri wa mwanasheria

ukishafany hvo ndio unascan afu unaviupload kwny sistimu
Ukisha scan tayari hyo ni softcopy itaipigaje muhuri wakati sio tangible thing?

Au ulimaanisha kuscan na kuprint coloured kisha kupiga muhuri wa mwanasheria then kuscan tena ndio ku-attach kwenye ajira portal
 
Ukisha scan tayari hyo ni softcopy itaipigaje muhuri wakati sio tangible thing?

Au ulimaanisha kuscan na kuprint coloured kisha kupiga muhuri wa mwanasheria then kuscan tena ndio ku-attach kwenye ajira portal
Yap kuscan na kprint coloured tena af ndo upige mhuri then uscan tena ile softcopy iupload kwny sistim
 
Nafasi ikishatangazwa unaandika barua kwa mkono na kuweka saini yako, una scan na kuattach then unatuma.

LAZIMA IWE KWA MKONO? HUWEZI KU TYPE MBONA MI HUWA NA TYPE SIJA WAI ANDIKA AISE.. au pia hicho niki gezo?
 
Unatakiwa uzingatie haya:
  1. The applicant should create account in the recruitment portal and activate it
  2. Applicant should read and understand the advertisement before applying for the job.
  3. Applicants should indicate the position he/she is applying for on the head of the cover letter
  4. Applicant should remember to attach all necessary documents (academics certificates).
  5. Submit your application letter and you will be notified on your successful or failure of your application
Unapojaza taarifa hizi hapa chini ndio zinatoonyesha asilia ngapi, ukiwa na asilia 70 kuendelea hapo unanafasi ya kuitwa
  • Contact Details
  • Academic Qualifications
  • Professional Qualifications
  • Language Proficiency
  • Working Experience
  • Training & Workshop Attended
  • Computer Literacy
  • Referees
  • Other Attachments
  • Declaration
Kutokuitwa inategemea na vitu vingi mfano:
  • Barua yako ya maombi haishawishi na nafasi uliyoomba,
  • Barua yako hukuisaini, Jinsi ya kufanya Unaweza kuandika kwa mashine ukaiprint kisha unaisaini na kuisacan kwa ajiri ya maombi husika ya kazi
  • Vyeti, vyeti vyako vinaweza kuwa havilingani na kazi uliyoiomba kama vipo sawa unatakiwa uviscani uviapload sehemu husika mfano kama ni vyeti vya academic unavapload kulingana na maelezo ya kwenye sehemu ya "Academic Qualifications" kila kimoja na sehemu husika, Sio lazima uvi certify kama ni original certificates we viscan uviweke mahali husika.
  • Au hukuwa na vigezo na nafasi uliyoiomba
 
mimi naombeni ufafanuzi kwenye proffessinal qualification unajaza nini na kwenye training na workshop unajaza nini kwa anaejua aniambie please.
 
JINSI YA KUJISAJILI KWENYE MFUMO WA AJIRAPORTAL NA KUJAZA TAARIFA MUHIMU
kwa maelezo zaidi pitia link ifuatayo inaelezea hatua kwa hatua kuanzia kujisajiri (registration) na kujaza taarifa zako inahusisha picha ambazo zitakuwezesha kujua wapi unashindwa au unakwama wapi pia jinsi hiyo profile itakavyoweza kufika angalau 70 uweze kuitwa kwenye usaili
link:Jobtipstz: JINSI YA KUJISAJILI KWENYE MFUMO WA AJIRAPORTAL NA KUJAZA TAARIFA MUHIMU
 
Heri?

Napata tabu kidogo sijui ndio iko hivyo au la , kwenye ajira portal ujazaji wangu wa taarifa binafsi na makorokoro kibao bado ina soma 92% completed.

Kuna uwezekano huenda sija wahi kuitwa kwenye usahili wa ajira za serikali kisa hii 92%? Au ni mpaka ifike 100%?

Au kuna kitu sija kiweka sawa walau basi isogee hata 95% kama sio 98% hata 100% kabisa.
Mzee ujaeeka cheti chako kimoja cha kule dodoma pale milembe ukiweka inafika mia fresh kabisa
 
Back
Top Bottom