Msaada: Kwenye Ajira portal nimejaza bado inasoma 92% completed. Ni nini tatizo?

bbwaoy

JF-Expert Member
Apr 17, 2015
466
464
Heri?

Napata tabu kidogo sijui ndio iko hivyo au la , kwenye ajira portal ujazaji wangu wa taarifa binafsi na makorokoro kibao bado ina soma 92% completed.

Kuna uwezekano huenda sija wahi kuitwa kwenye usahili wa ajira za serikali kisa hii 92%? Au ni mpaka ifike 100%?

Au kuna kitu sija kiweka sawa walau basi isogee hata 95% kama sio 98% hata 100% kabisa.
 
Asanteni sana wakuu ... wasi wasi mmeniondoa sasa .
 
Ku certify vyeti na barua kua na signature sina mashaka navyo .. huenda bahati haija ni dondokea ...
 
Ku certify vyeti na barua kua na signature sina mashaka navyo .. huenda bahati haija ni dondokea ...
Ku-certify vyeti inakuaje mkuu

Vyeti vyako unavitoa copy then una certify ndo una scan then una upload sio?

Na hiyo barua unaandika pale nafasi ikishatangazwa au unaandika wakati gani?
 
Ku-certify vyeti inakuaje mkuu

Vyeti vyako unavitoa copy then una certify ndo una scan then una upload sio?

Na hiyo barua unaandika pale nafasi ikishatangazwa au unaandika wakati gani?
Nafasi ikishatangazwa unaandika barua kwa mkono na kuweka saini yako, una scan na kuattach then unatuma.
 
Ku-certify vyeti inakuaje mkuu

Vyeti vyako unavitoa copy then una certify ndo una scan then una upload sio?

Na hiyo barua unaandika pale nafasi ikishatangazwa au unaandika wakati gani?
vyeti vinafanyiwa certification na Wakili/mwanasheria kwa kugongwa muhuri wake

Vyet unavscan kwanza af vile ulivoscan ndio vnapgwa mhuri wa mwanasheria

ukishafany hvo ndio unascan afu unaviupload kwny sistimu
 
Hakikisha unacheti chako halisi ilimradi kina signature za uongozi Wa chuo inatosha,pia barua sio lazima uandike kwa mkono,ila signature ya mkono wako ni muhimu sana.
 
Back
Top Bottom