bbwaoy
JF-Expert Member
- Apr 17, 2015
- 466
- 464
Heri?
Napata tabu kidogo sijui ndio iko hivyo au la , kwenye ajira portal ujazaji wangu wa taarifa binafsi na makorokoro kibao bado ina soma 92% completed.
Kuna uwezekano huenda sija wahi kuitwa kwenye usahili wa ajira za serikali kisa hii 92%? Au ni mpaka ifike 100%?
Au kuna kitu sija kiweka sawa walau basi isogee hata 95% kama sio 98% hata 100% kabisa.
Napata tabu kidogo sijui ndio iko hivyo au la , kwenye ajira portal ujazaji wangu wa taarifa binafsi na makorokoro kibao bado ina soma 92% completed.
Kuna uwezekano huenda sija wahi kuitwa kwenye usahili wa ajira za serikali kisa hii 92%? Au ni mpaka ifike 100%?
Au kuna kitu sija kiweka sawa walau basi isogee hata 95% kama sio 98% hata 100% kabisa.