Msaada kwa wataalamu wa IT

Msaada kwa wataalamu wa IT

Dank

Member
Joined
Jun 2, 2016
Posts
23
Reaction score
10
Nina flash ambayo nilikuwa natunza document zangu nyingi na za muhimu. Ilikuwa na audio chache. Siku moja nilikuwa naplya kwenye DVD ikastop ghafla nahisi ilipata virus. Nikiifungua kwenye computa haifunguki, hata nikiiflshi inagoma. Lakini kwenye hizo documement ndani ya flash baadhi zilikuwa na password. Je hizo password inaweza kuwa tatizo hata nisiweze kuiflash? Au nifanyeje? Msaada please
 
Umeeleza mengi tatizo lako liko wapi? Kipi unachotaka kuifanya hiyo flash?
 
Nina flash ambayo nilikuwa natunza document zangu nyingi na za muhimu. Ilikuwa na audio chache. Siku moja nilikuwa naplya kwenye DVD ikastop ghafla nahisi ilipata virus. Nikiifungua kwenye computa haifunguki, hata nikiiflshi inagoma. Lakini kwenye hizo documement ndani ya flash baadhi zilikuwa na password. Je hizo password inaweza kuwa tatizo hata nisiweze kuiflash? Au nifanyeje? Msaada please
Unapatikana wapi mkuu? Nna maujanja ya kurecover data zote na kuinyia factory reset hiyo device itapona. Nicheki apa 0765961152
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom