Msaada kwa Wataalamu wa Excel

Msaada kwa Wataalamu wa Excel

Kama upo ofisini na umewekwa kimkakati na uncle au shemeji bora uresign tu.

Nyie ndio mnaoziba nafasi za wenye vyeti halali na ufanisi kupewa ajira maofisini.

Kamanda Sirro njoo uanzie huku!
 
Kama upo ofisini na umewekwa kimkakati na uncle au shemeji bora uresign tu.

Nyie ndio mnaoziba nafasi za wenye vyeti halali na ufanisi kupewa ajira maofisini.

Kamanda Sirro njoo uanzie huku!
hahahahah mim nimejiajir mjomba hii nifanya tu kudhibit wiz idiot mwiz mwenyew
 
hahahahah mim nimejiajir mjomba hii nifanya tu kudhibit wiz idiot mwiz mwenyew
Sasa umejiajiri without skills? Kama una mteja si umemchomesha sana hindi kukusubiri kaunta umfanyie kazi yake.?

Acha hizo rudi shule kamalizie hiyo program ya Ms Excel.
 
hahahahah mim nimejiajir mjomba hii nifanya tu kudhibit wiz idiot mwiz mwenyew
weka column g, f, na h kwanza kwenye # format moja drag formula angalia jibu elekeza tofauti tu fix cell kutatua tatzo kwa ujumla.

++hata 200000 haikutakiwa kuwa kwenye formula++
 
weka column g, f, na h kwanza kwenye # format moja drag formula angalia jibu elekeza tofauti tu fix cell kutatua tatzo kwa ujumla.

++hata 200000 haikutakiwa kuwa kwenye formula++
sijaelewaha hapo mkuu kbs umeniacha boss
 
Niaje Wakuu niende moja kwa moja kwenye point

Kuna Spread sheet nataka kutengeneza ambayo inakuwa na Expenses, Derbit, Credit na Cash Flow kwenye Bank Acc mfano nimenunua sukari 200tsh hii itakuwa derbit (Nimetoa kwenye Acc yang ambayo ina shiling elfu 5000) iikabak 4800 nikapewa hela na juma shiling 600 hii inakuwa ni credit (4800+600=5400 ambacho nikias kwenye akiba yangu) sasa nataka kiweka hii kitu kwenye Excel lakin formula imenipiga chenga mkuu na sehemu inayotakiwa kuwa na Formula ni moja tu kwenye Cash Flow Basi

CC ymollel Chief-Mkwawa na wengine

Kulingana na maelezo yako cheki formula hapa chini, unachofanya ni kuweka figure zako kwenye expenses, debit, credit drag cell I na J itakuwa jibu kwenye cash flow na ndio balance yako itakayokuwa imebaki Bank.


Excel.PNG
 
mkuu ujanilewa vzr hapo unapochukua credit-debit sijui unapata nin mim nina idea ila namna ya kupresent kwente Fx sasa ndio mziki labda nina laki mbil yangu nikitaka kujua nimeingia nimetoa sina naweka 200,000-Debit+Credit ila nikiweka hii kwenye sheet haiwiii carry foward angalia hapa yan formula inakuwa applicable kwenye row ya kwanza tu ukijaribu kwenye
row ya pil kwa kudrag inakataa inatoa jibu la uongo
Unajichanganya mwenyewe kwenye hii excel yako. Njoo PM nikusaidie.
 
Ukiingia excel pale kuna kitu kinaitwa help, kitakusaidia kila kitu na jins ya kuandika formula itakuelekeza
 
Kulingana na maelezo yako cheki formula hapa chini, unachofanya ni kuweka figure zako kwenye expenses, debit, credit drag cell I na J itakuwa jibu kwenye cash flow na ndio balance yako itakayokuwa imebaki Bank.


View attachment 366260
duuuuh hi formula yako sio kbs mana yangu inaunganisha debit na credit tu hakuna expenses
 
duuuuh hi formula yako sio kbs mana yangu inaunganisha debit na credit tu hakuna expenses
Hiyo ni yako, yangu inaonesha expenses kama mleta hoja alivyoelezea kwenye thread yake. Kinachofanyika ni kuweka item zile unazotaka against column.
 
Back
Top Bottom