donlucchese
JF-Expert Member
- Mar 23, 2011
- 17,258
- 22,130
Habari wakuu, straight to the topic,
Mimi ninatumia king'amuzi kimoja cha Azam sasa soon nataka ku-uprade TV ya sitting room niweke kubwa zaidi halafu iliyopo niiweke chumbani kwangu.
Sitaki kununua king'amuzi kingine nataka niendelee kutumia kimoja. Najua inawezekana kupitia Ile RF port nyuma ya king'amuzi na kwenye TV unaweka kwenye port ya antenna.
Tatizo ni kwamba option ya kubadili channel inakua changamoto kwa hii second TV set. Naomba msaada maana naonaga tv za lodge unaweza kubadili tu channel bila matatizo n wanatumia dish/king'amuzi kimoja.
Naomba msaada wakuu
Mimi ninatumia king'amuzi kimoja cha Azam sasa soon nataka ku-uprade TV ya sitting room niweke kubwa zaidi halafu iliyopo niiweke chumbani kwangu.
Sitaki kununua king'amuzi kingine nataka niendelee kutumia kimoja. Najua inawezekana kupitia Ile RF port nyuma ya king'amuzi na kwenye TV unaweka kwenye port ya antenna.
Tatizo ni kwamba option ya kubadili channel inakua changamoto kwa hii second TV set. Naomba msaada maana naonaga tv za lodge unaweza kubadili tu channel bila matatizo n wanatumia dish/king'amuzi kimoja.
Naomba msaada wakuu