Msaada kwa Wanachama wa LAPF

Msaada kwa Wanachama wa LAPF

Ukiweza nenda Dodoma, kaonane na mkurugenzi au hata zonal manager kwenye kanda uliyopo.

Ina maana nikifunga safari kwenda Dodoma nitalipwa kutokea huko huko Dodoma? Jamani kwa yoyote mwenye ushuhuda juu ya hili tujuzane.
 
Habarini wapendwa. Naomba msaada kwa wanachama wenye uelewa na huu mfuko wa kijamii wa LAPF. Ni hivi, si muda mrefu (wiki 2) toka Mke wangu ajifungue! Tumekuwa tukijiuliza kila leo endapo kuna fungu (pesa) la mzazi ndani ya mfuko huu kwa wanachama. Mke wangu ni mwanachama kwa miaka 3 sasa. Lengo ni kupata haki za mwanachama. Pesa za kumlea mama na mtoto ninazo (maana najua wengine mtakuja na mitazamo tofauti). Msaada kwa waelewa tafadhaki. Ahsanteni!
nachojuwa hapo mkuu shemeji yetu akipata tena ujauzito aende Lapf atapewa msaada ikiwa ni pamoja na kuchangia sehemu fulani fedha. Na anatakiwa kuwa mwanachama
 
Kuwaogopa waajiri...hili ni tatizo lao sugu (khaaaa)
 
Ina maana nikifunga safari kwenda Dodoma nitalipwa kutokea huko huko Dodoma? Jamani kwa yoyote mwenye ushuhuda juu ya hili tujuzane.

Inabidi ufanye uamuzi wa busara, imagine mhusika ndo anasumbuliwa hivyo, akiwa mrithi je......................
 
LAPF siku hizi matangazo kibao kwenye media, lakini kulipa pesa za watu ni ishu! Wanadai ndani ya siku 30 unalipwa, wapi!!!!
 
Back
Top Bottom