Msaada kwa wale wataalamu wa iphone, napakuaje mp3

Kuwa specific....nini kinakutatiza katika utumiaji....

nilijua ukiwa umedownload nyimbo zinakuja kwenye simu mojakwamoja kumbe zinakaaa kwenye app husika ukiihitaji ni mpk ufungue tena app apo ndio naona mazoez kwan lile file lao la music lina kazi gani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…