Watu kama hawa ndo safi mkuu co mwngine unauliza anakujb matusiMkuu nimekupenda bure atheeeeee kama wasomi wote wangekuwa na roho kama yako hakika tungefika mbali aiseeeee.....hata huu ubaguzi wakishamba unaofanywa na serikali usingekuwepo aiseee kwa moyo uliouonesha kwa hiki kidogo umenifanya nijaji vitu vingi kutoka kwako kuanzia umri kabila elimu na shule pamoja na vyuo ulivyosoma.....
Shukrani sana mkuuu
Acha kutuekea mambo ya kitoto hapa.Swali umepewa wewe unatusumbua sisi alaaah acha uvivu usipende vitu vya dezo wewe.Toa points huwez pita kando
Acha ukilaza dogoHata usipojib swali langu sitokosa watu wa kunisaidia tena humu humu jf
Fikir kwanza then ndy upate kuuliza.Naomba msaada wa ilo swali........
.
Nipate point tu
Asanteni.......![]()