Una fanya kazi gani? Una umri gani? Hivi navyo vitasaidia kutafsiri ndoto yako. Pia chanzo cha kipato chako. Ndoto yako ni moja hiyo japo yajirudia ila kuna namna flani unachezea chanzo chako cha kipato. Tulia kabisa na unapofanya shughuli zako wapo wanaotafuta mbinu za kukimaliza hicho chanzo.
Sehemu/kitu/mtu muhimu sana anawindwa ktk maisha yako. Kama we mkristo omba ikiwezekana funga ili Mungu aweke ulinzi ktk kila sehemu ya maisha yako. Kama sio mkristo jutahidi kusali kwa imani yako ili kama kuna chochote kibaya kisikupate. All n all hii thread sio mahali pake!!
Thnx a lot.....
Jaman wadau mara nyingi nimekuwa nikiota jino limeng'ooka...mara nyingine naota meno yote mdomoni hayapo... mfano mzuri ni mchana wa leo, nlipokua nimejipumzisha nimeota eti jino langu limetoka,,, eti damu nying sn zikatoka.. baada ya muda jino lingine likaanza kutikisika...nashtuka najikuta niko sawa...Lakin kinachonishangaza ni kuwa ndoto hii huwa naiota sn....Plz km ina maana yoyote naomben mawazo yenu....
Karibun......
Tafsiri ya ndoto yako ni: Kuna kipindi ulikutana na mwanamke ukamtongoza na ukawa naye usiku kucha, ulinyonya sandals zikiwa na maziwa ya kale, hiyo ndiyo sababu, ukitaka usiote tena chemsha mwarobaini kunywa kutwa mara tatu kwa mwezi mmoja.
Duh....mbona mm ni ke???
Nina miaka 33.... ni mfnyakaz wa serikalini..
Jaman wadau mara nyingi nimekuwa nikiota jino limeng'ooka...mara nyingine naota meno yote mdomoni hayapo... mfano mzuri ni mchana wa leo, nlipokua nimejipumzisha nimeota eti jino langu limetoka,,, eti damu nying sn zikatoka.. baada ya muda jino lingine likaanza kutikisika...nashtuka najikuta niko sawa...Lakin kinachonishangaza ni kuwa ndoto hii huwa naiota sn....Plz km ina maana yoyote naomben mawazo yenu....
Karibun......
utavurugwa tu hapa,,
ndoto ni ujinga tu.
Tafsiri ya ndoto yako ni: Kuna kipindi ulikutana na mwanamke ukamtongoza na ukawa naye usiku kucha, ulinyonya sandals zikiwa na maziwa ya kale, hiyo ndiyo sababu, ukitaka usiote tena chemsha mwarobaini kunywa kutwa mara tatu kwa mwezi mmoja.