Cleaning and fumigation company?
Mm nilowah kuwa supervisor wa kampuni fulani hiv ya usafi, ilikamataga tenda hospital ya mbagala rangi 3 na temeke miaka fulani.
Hapo ni kama kumsukuma mlevi tu, unaandaa organogram ambayo haiko complicated saana. Juu CEO chini, unaweka accountant, pembeni anakaa operation au field officer na mwingine ni afisa MANUNUZI na trainer wa wafanyakaz bas. Chini yao wanatokea supervisors kama wanne ambao watasimamia wenzao kwenye roster.
Hapo unabid tender na operation officer wako anakuwa kama marketing officer. Changamoto inaweza kuletwa na namna utakavyooparate tu! Ila changamoto nyingin huwez kuziondoa ni kuzitengenezea mkakat wa kupunguza risk zake! Moja ni wafanyakaz kuacha kazi kwa kigezo ch udogo wa mishahara au umbali wa eneo la kaz so mkakat wa kuwaganya unazingatia tu wanapokaa