Unaenda kupiga mkoa gn chiefNaomba msaada kujua ni aina gani ya maswali yanaulizwa kwenye interview za Tanroads hasa kwa nafasi za SHIFT INCHARGE. Asanteni
Izi kazi za Tanroads kumbe hua wanaitaga,nilishaombaga miaka ya nyuma nilivyoona kimya nikawa nazipotezeaTabora mzee