m2 wangu DENA AMSI ckufich ninamfikishia ujumbe huu hv hv yan nimekubaliana na wewe unajua nini kila m2 anataka kumshangaa familia yake inamshangaa na maamuz yake yan ilibid waniite kuniomba nimshaur mana yeye alishndwa na hv ninavyosema alikuwa ajaenda enda ofisin anasiku mbil. Kusema ukwel mm nilianza kufikiria jamaa anaweza ku2mia ki2 cha kinaijelia yan limbwata
Amwambie kabla hajaacha kazi amfungulie biashara ya maana kabla ya ndoa ndio aache hiyo kazi
Mwambie aone analoona yeye sawa maana vitu vingine hata sio vya kumshauri mtu, kwani yeye anaona kipi bora, kazi au bwana? atakachoona bora afuate hicho hicho
Au jamaa kaona anathamini sana kazi kuliko yeye. Mshauri asiache, but ajaribu ku-balance muda wa kazi na relaltion. This life siyo la kukaa kijiweni/mama wa nyumbani bila atleast kuwa busy hata kidogo, haipendezi. Kama kasoma, inamaana huo ndo utakuwa mwisho wa ndoto za wazazi wake kupeleka shule?
we lizzy tema mate chn mwenzio kajarbu kila njia ameshndwa ndo kaamua kuomba ushaur usiseme hvyo ila okay nitamfikishia ujumbe wake
kusoma amesoma na anadegree yake nzur na anafanya kaz nzur tatzo ndo nimekuja hapo alipotaka kuolewa jamaa hatak huyu bnt aendelee na kaz je huyu jamaa nae anakaz nzur ila kwa hal ya sasa kama ofic yenyewe msharaha mpaka uchakachue je unaweza bila msaada wa mwenzio na jamaa kaz yake ukiambiwa hata wewe utakubal kuwa kipato hcho hakitaweza kuish hv sasa
Habar zenu wanathnker kwa muda kidogo nilikuwa nipo off air hii ni kupambana na hal ya maisha ya hapa na pale ili kutimiza kaul ya wazir kila mtu atakula kwa jasho lake. 2achane la hlo kubwa kuliko lote ninajiran yangu wa kike alikuwa na mahusiano ya muda mrefu na kijana mmoja wa kinaijelia. Sasa imefikia ha2a za uchumba yule kijana anamwambia huyu msichana aache kaz aliyokuwa akifanya. Na ukichek huyu dada hyo kaz ndo inampa mlo na maisha na inahudumia hata nyumban kwao. Na huyu kijana wa kijana hana uweza wa kumuhudumia huyu bint sasa anauliza je anafanyeje na maisha yalivyo magumu na anampenda sana jamaa anaomba apate ushaur wenu(usimshaur amuache)
Ana kazi nzuri alafu hawezi kumhudumia???Mbona unachanganya maelezo mzee???
Ana kazi nzuri alafu hawezi kumhudumia???Mbona unachanganya maelezo mzee???
yan ninamaana hii jamaa kaz aliyonayo ni nzur kwel lakn kipato alichonacho hakimkidh maitaj hata kumsaidia mwnzie bila msaada wa mwenzie alafu pia co kila mwenyekaz nzur anakipato kizur sawa wanandugu