funzadume
JF-Expert Member
- Jan 28, 2010
- 13,650
- 21,485
Naijua sana ila kwani kuijua ndio huwezi kudisco?usitumie hisia kujibu maswali tafuta fact kwanza profile yangu huijui
Naijua sana ila kwani kuijua ndio huwezi kudisco?usitumie hisia kujibu maswali tafuta fact kwanza profile yangu huijui
*N.B madogo mlioko chuoni someni, chuo hakiitaji mbwembwe*
nimekuelewa na tuko kwenye process za hiloHAPO ANACHOTAKIWA KUFANYA ILI ARUDI TENA CHUONI KWA MWAKA HUU NI HV
Aende chuoni atapewe barua ya ku disco kisha ataijaza na kusainiwa au kupgwa muhuli wa chuo kisha ataenda TCU kuwapelekea barua hyo kwa lengo la TCU kumuondoa kwenye system ili aweze omba tena maana endapo asipofanya hvyo pindi akiomba tena chuo itaonekana bado yupo kwenye system..Kwahyo hatoweza fanikiwa pata chuo mpka aondolewe kwenye system.
Pia Kuna vyuo vingine uwaga wanapeleka wenyewe majina TCU Kwa watu walio disco
Hivyo itamlazimu asubirie mpka chuo kipeleke
Hapo anatakiwa arudi chuoni ili akaulizie apate jua kama ni yeye anatakiwa kupeleka barua TCU au Chuoni Wenyewe wanapeleka majina
Na Imani nimeleweka japo sina uhandishi mzuri ni hilo nami nimeona niwasilishe.
Karibu Fulgent Careers, washauri wa masuala ya elimu ndani na nje ya nchi. Utajibiwa maswali yako yote na huduma za ziada kwa gharama ya Tsh 5000 tu. 0769 524 022.habarini wana JF
Nina ndugu yangu anasoma udom mwaka wa pili (kozi ya miaka minne) level ya degree hivi majuzi matokeo yametoka amedisco....hajui aende wapi wala afanye nini.
Kwenu wana jf kwa situation kama hii ataruhusiwa kuomba chuo kingine baada ya miaka mingapi, anaweza kuappeal, nini hatima ya mtu aliedisco kwa utaratibu wa tz???
karibuni tuwasaidie wadogo zetu( ushauri)
*N.B madogo mlioko chuoni someni, chuo hakiitaji mbwembwe*
Hata avatar yako inaonesha akili yakoMwambie aende VETA
Wewe ndo umedisco unamsingizia mdogo wako.habarini wana JF
Nina ndugu yangu anasoma udom mwaka wa pili (kozi ya miaka minne) level ya degree hivi majuzi matokeo yametoka amedisco....hajui aende wapi wala afanye nini.
Kwenu wana jf kwa situation kama hii ataruhusiwa kuomba chuo kingine baada ya miaka mingapi, anaweza kuappeal, nini hatima ya mtu aliedisco kwa utaratibu wa tz???
karibuni tuwasaidie wadogo zetu( ushauri)
*N.B madogo mlioko chuoni someni, chuo hakiitaji mbwembwe*
Hata avatar yako inaonesha akili yako
Boom atapata?asante
unaenda mwenyew TCU wanakufuta ndo unaweza kuapply upya chuo hakikuangaikii tena.mfano kwa aliedico akiamua kuomba kupitia NACTE atakubaliwa? au mpaka jina lake kule chuoni litolewe? na huwa wanaenda wenyewe waliodisco au chuo kinaeleka jina TCU?
namuomba asirudi chuo kwa sababu zifuatazo,
1>Ashasoma miaka 2 akienda tena kwanza na kusoma miaka 3/ 4 itakua kapoteza miaka 5/6 kwa elimu ya chuo tuu,, hii ni kupoteza muda ukizingatia maisha bila elimu ya chuo yanawezekana...
2> Probability ya kupata mkopo ni ndogo sana hivyo itabidi a some kwa pesa zake mwenyewe kitu ambacho angetumia angetumia pesa hizo kama mtaji na kufanya mambo mengi mtaani, elimu aliyopata inatosha
3> Alishasoma akadisco, kuna haja gani ya kurud chuo tena? Kwanza atasoma kwa stress na anaweza kudisco tena, usitud chuo shule ishakukataa Fanya mambo mengne
mfano kwa aliedico akiamua kuomba kupitia NACTE atakubaliwa? au mpaka jina lake kule chuoni litolewe? na huwa wanaenda wenyewe waliodisco au chuo kinaeleka jina TCU?