Rosicky
JF-Expert Member
- Sep 21, 2015
- 1,157
- 1,943
habarini wana JF
Nina ndugu yangu anasoma udom mwaka wa pili (kozi ya miaka minne) level ya degree hivi majuzi matokeo yametoka amedisco....hajui aende wapi wala afanye nini.
Kwenu wana jf kwa situation kama hii ataruhusiwa kuomba chuo kingine baada ya miaka mingapi, anaweza kuappeal, nini hatima ya mtu aliedisco kwa utaratibu wa tz???
karibuni tuwasaidie wadogo zetu( ushauri)
*N.B madogo mlioko chuoni someni, chuo hakiitaji mbwembwe*
Nina ndugu yangu anasoma udom mwaka wa pili (kozi ya miaka minne) level ya degree hivi majuzi matokeo yametoka amedisco....hajui aende wapi wala afanye nini.
Kwenu wana jf kwa situation kama hii ataruhusiwa kuomba chuo kingine baada ya miaka mingapi, anaweza kuappeal, nini hatima ya mtu aliedisco kwa utaratibu wa tz???
karibuni tuwasaidie wadogo zetu( ushauri)
*N.B madogo mlioko chuoni someni, chuo hakiitaji mbwembwe*