miss mwanjelwa
Member
- Sep 4, 2016
- 62
- 41
Kwa mtu anayefahamu anisaidie dawa nina mdogo wangu yaani imekuwa nii kero kwake mpaka anashindwa kuwa huru sababu ya jasho hilo.
Kabisaawe anaoga asubuhi afu anapaka limao au ndimu inakata harufu mkuu
FACT i hope wewe ni msukuma kama mimiUwe unaosha kwapa na ukoko wa ugali! Ukifanya hivyo mara mbili tu, utaanza kuona mabadiliko!
Asante Mkuuawe anaoga asubuhi afu anapaka limao au ndimu inakata harufu mkuu
Asante kwa ushauri.Uwe unaosha kwapa na ukoko wa ugali! Ukifanya hivyo mara mbili tu, utaanza kuona mabadiliko!
Meme/ ke?
Ni wewe sio mdogo wakoKwa MTU anayefahamu anisaidie dawa nna Mdogo Wangu yaani imekuwa nii kero kwake mpaka anashindwa kuwa huru sababu ya jasho hilo.
Ukoko ulio ungua au wowote na akae nao muda gani ndo anawe.?Uwe unaosha kwapa na ukoko wa ugali! Ukifanya hivyo mara mbili tu, utaanza kuona mabadiliko!
Haha haya!Ni wewe sio mdogo wako
Dawa ni nivea anti persperant huuzwa elfu 6 huku mikoani kila asubuhi unapooga paka kwapani utatoa jasho linalonukia pafyumu ni kachupa kadogo
Baada ya kusonga ugali tia maji kwenye sufuria kisha liache kama ni usiku hafu asubuhi nawa kutumia hayo maji kwenye makwapa. Within a week tatizo kwishneyUkoko ulio ungua au wowote na akae nao muda gani ndo anawe.?
Hahahahahahaha hayakukuletea shida?Mimi nilikuwa natumia maji ya Betri ila sikushauri utumie hii njia.
Sorry hiyo diodorant unaikumbuka jina naomba plz.Pole. There are couple of things he needs to do.
Kwanza mwambie ale tui la nazi au awe anatafuna nazi nusu kwa siku kila siku for two weeks then anapumzika kidogo then anaendelea. Nazi has proven to improve skin structure hence to prevent the skin from making much sweat. That improvement mean kile kinachotoka kwenye ngozi ni jasho lisilo na vimeng'enya vingine zaidi tu ya maji.
Pili mwambie awe anatumia deodorant ile yenye kimpira kama cha golf kwa juu. Ile akijipaka pia huzuia kutoka kwa jasho jingi...
Ziadi zaidi, azingatie usafi kama kunyoa makwapa na kuoga mara kwa mara.