Habari wapendwa?
Nilikuwa naomba kuuliza kama kuna mtu alie Kigoma kama atakuwa anafaham kinacho endelea kwenye mradi wa maji Kigoma ambao unasimamiwa na kampuni ya SINO HYDRO kama anaweza kuni saidia kumpata mtu yoyote ambae yupo kwenye mradi ili nipate tarifa za ajira maana ndio wameanza.
Nilikuwa naomba kuuliza kama kuna mtu alie Kigoma kama atakuwa anafaham kinacho endelea kwenye mradi wa maji Kigoma ambao unasimamiwa na kampuni ya SINO HYDRO kama anaweza kuni saidia kumpata mtu yoyote ambae yupo kwenye mradi ili nipate tarifa za ajira maana ndio wameanza.