Nyoka kibisa
JF-Expert Member
- Nov 30, 2014
- 941
- 2,567
Lap top yangu aina ya lenovo thinkpad ilizima ghafla na sasa hivi nikiiwasha batan ya kuwashia inawaka kama sekunde moja na wakati wa kuwasha kama ina vibrate afu inazima tatizo ni nini au ndo kifo chakekimetimia msaada wa mawazo