kedekede
JF-Expert Member
- Aug 21, 2016
- 5,298
- 7,646
Nafasi kwako ninayo muda wowote KapeaceNakusalimu kede
Nafasi kwako ninayo muda wowote KapeaceNakusalimu kede
Asante sanaNafasi kwako ninayo muda wowote Kapeace
fungua browser halaf andika google kisha orodhesha ulivyovihitaj.. soon utavipata on time..Samahan kwa kutoka nje ya mada wakuu,
nipo hapa arusha stend, nisehem gan naweza pata CD ya CCM MBELE KWA MBELEE, T-shirt iliyoandkwa HAPA KAZI TU na kofia yenye picha ya YULE BWANA.
Hiyo miguu yako tu....Hivi kidato cha tatu tulikuwa tunaruhusiwa kufanya mapenzi? Dah kumbe mama yangu alikuwa mkali zaidi ya Simba. Siku hizi kawa mpole wadogo zangu hawakuonja hili joto.
Maana nakumbuka alinambia nikipewa barua nimpe. Na nisipompa atajua na atanivunja miguu . kwahiyo sikupokeaga barua yeyote. Dah sio kwa mikwala ile.
shule kwanza, haya mambo vyuoni yapo sana. na madada tukipenda hupenda mpaka mwisho lkn maji yashamwagika! chuo msingi ni kutengeneza GPA. ukiendekeza hilo gpa itaporomoka. achana naye kimawazo, hutakufa naye, duniani ulikuja peke yako. Mungu ata mpa huyo binti wake wa ukweli baada ya masomo!!!mkuu mwambie asimkazie sana asubiri amalize chuo ndo amtafute, kwa totoz za chuo wote uliwahi kudate nao o level ni ligi za mchangani wakati chuo ni UEFA kabisa