Wang Shu
JF-Expert Member
- Feb 1, 2014
- 2,563
- 3,708
Hapo sasa.Me niko Mwanza
Hapo sasa.Me niko Mwanza
Kama ni hivyo basi kusingekuwa na wafamasia.Haya mmeanza sasa.
Unahisi baada ya Dr kukuandikia dawa inamaana anakuwa hajui side effects za hiyo dawa husika? Hajui drug limit?
Rudia ulichokiandika. Unahisi ni sahihi kumwambia mtu kuwa asiruhusu Dr kumpangia dawa?Kama ni hivyo basi kusingekuwa na wafamasia.
Hzo hapo dawa nilizo andikiwa.Habarini wanajamvi nimerudi tena...kwanza niwashkru walio nishauri kwenda hospital, nimeenda na nimefanyiwa utrasound nimektwa na uvimbe kwa ovar zote mbili..ila nimeandikiwa dawa ambazo ni hzo hapo chin je zitanisaidiaView attachment 1511960View attachment 1511959
Utapona mkuu usijali.Aliniambia nijaribu nisipo pona nirudi
Habarini wanajamvi nimerudi tena...kwanza niwashkru walio nishauri kwenda hospital, nimeenda na nimefanyiwa utrasound nimektwa na uvimbe kwa ovar zote mbili..ila nimeandikiwa dawa ambazo ni hzo hapo chin je zitanisaidiaView attachment 1511960View attachment 1511959
Amina Amina mpendwa nazipokea baraka kwa damu ya yesuUnahitaji faraja sana, Mungu akutie nguvu na wepesi wa kupona, haki ya Mungu iwe mbele yako na utukufu wake ukufuate nyuma, jipe matumaini makubwa, Mungu akuponye haraka. Nimejikuta kama nakuona hivi, maana juhudi ulizochukua hadi kuonyesha public ulichokiona hospitali inaashiria unahangaika kweli. Mungu ni mwema, upone kwa mkono wenye imani kuu. Amen
Sio kwamba ninahisi bali ndio ukweli wenyewe, daktari hapaswi kutoa maelekezo ya kutumia dawa haijalishi anajua ama hajui.Rudia ulichokiandika. Unahisi ni sahihi kumwambia mtu kuwa asiruhusu Dr kumpangia dawa?
Kama wewe ni mtaalamu wa Afya bila shaka utakuwa ni nurse maana nyie tumekuwa na competition zisizo na msingi.
Unakuta unamwandikia mteja hivi kule unakuta kingine