Msaada kwa hili tatizo: Nimepata uvimbe baada ya kumeza vidonge vya kupevusha mayai

linahbaby

JF-Expert Member
Jul 18, 2020
1,087
3,084
Niliingia period trh29 mwezi wa 6 uwa Nina tatizo la kutokomaa kwa mayai hvo unaipelekea kuchelewa kupata hedhi, siku ya 5 ambayo ilikuwa trh 3 nilitumia dawa ya kupevusha mayai iitwayo Over mit maana natafuta mtoto.

Niliandikiwa kumeza vidonge viwili kila siku usiku kwa mjibu wa doctor aliniambia kama ulisha wahi kuvitumia kwa kumeza kimoja kimoja na hukusaidika basi sasa hv meza viwili muda wa kulala nilifanya hvo kwa muda wa siku 5.

Lakini cha kushangaza sasa hv upande wa kulia na kushoto chini ya kitovu pamevimba nikama kuna kitu kimevimba kwa ndan na panauma hasa nikibanwa na mkojo kidgo tu naumia unakuta panavuta kwa maumivu kwa Dr doctor ebu nisaidieni jamani.

MREJESHO BAADA YA KWENDA HOSPITALI
Hzo hapo dawa nilizo andikiwaView attachment 1511972
---
Habarini wanajamvi nimerudi tena, kwanza niwashkru walio nishauri kwenda hospital, nimeenda na nimefanyiwa Utrasound nimektwa na uvimbe kwa ovar zote mbili..ila nimeandikiwa dawa ambazo ni hzo hapo chini. Je, zitanisaidia.

View attachment 1511960
 
Pole sana kwa maumivu utapona,pole sana kwa kutafuta mtoto, rudi Hospitali kamuone tena doctor atasemaje! Lakini naona huyo doctor kakuingiza mkenge kama ni overdose hivi! Sijui lakini.

Ukishindwa njia za Hospitali jalibu na upande wa pili.
 
Pole sana kwa maumivu utapona,pole sana kwa kutafuta mtoto, rudi Hospitali kamuone tena doctor atasemaje! Lakini naona huyo doctor kakuingiza mkenge kama ni overdose hivi! Sijui lakini. Ukishindwa njia za Hospitali jalibu na upande wa pili.
Upande upi best nisaidie kama wajua mpendwa
 
Inaweza ikawa cyst imevimba. Rudi hospital ukafanyiwe ultrasound inatibika. Pole
 
Inaweza ikawa cyst imevimba. Rudi hospital ukafanyiwe ultrasound inatubika. Pole
Asante lakini niulize uvimbe una tabia ya kujirudia rudia eeh na nifanyeje nipone kbsaa usirudi maan nina history ya kuumwa uvimbe na umekuwa ukipona unarudi mara kwa mara.
 
Usikubali kupangiwa matumizi ya dawa na daktari hata siku moja mtu sahihi wa hiyo kazi ni mfamasia tu. Madaktari wengi hawajui matumizi sahihi ya dawa ndio maana hata pale Muhimbili kuna kuwa na jopo la wataalamu wa tiba kinapita kukagua wagonjwa kwa wiki mara 2 na kila mwenye fani anakuwepo.

Upande wa dawa lazima muhusika awe mfamasia pole sana wahi hospitali ukatatue kabla hujachelewa.
 
Asante lkn niulize uvimbe una tabia ya kujirudia rudia eeh na nifanyeje nipone kbsaa usirudi maan nina history ya kuumwa uvimbe na umekuwa ukipona unarudi mara kwa mara
Sina hakika sana una uvimbe gani ndiyo maana nikasema yaweza ikawa cyst maana Kuna wanawake wengine wakimeza ova mit huwa wanavimba.

Kuna vimbe nyingine Kama vile mayoma nk.

Ni vyema ukamuona dokta afanye ultrasound.
 
Usikubali kupangiwa matumizi ya dawa na daktari hata siku moja....mtu sahihi wa hiyo kazi ni mfamasia tu.

Madaktari wengi hawajui matumizi sahihi ya dawa ndio maana hata pale Muhimbili kuna kuwa na jopo la wataalamu wa tiba kinapita kukagua wagonjwa kwa wiki mara 2 na kila mwenye fani anakuwepo.

Upande wa dawa lazima muhusika awe mfamasia. Pole sana wahi hospitali ukatatue kabla hujachelewa.
Asante ndo naenda saa hivi.
 
Sina hakika sana una uvimbe gani ndiyo maana nikasema yaweza ikawa cyst maana Kuna wanawake wengine wakimeza ova mit huwa wanavimba.

Kuna vimbe nyingine Kama vile mayoma nk.

Ni vyema ukamuona dokta afanye ultrasound.
Sawa sawa mkuu
 
Usikubali kupangiwa matumizi ya dawa na daktari hata siku moja mtu sahihi wa hiyo kazi ni mfamasia tu. Madaktari wengi hawajui matumizi sahihi ya dawa ndio maana hata pale Muhimbili kuna kuwa na jopo la wataalamu wa tiba kinapita kukagua wagonjwa kwa wiki mara 2 na kila mwenye fani anakuwepo...
Haya mmeanza sasa

Unahisi baada ya Dr kukuandikia dawa inamaana anakuwa hajui side effects za hiyo dawa husika? Hajui drug limit?
 
Asante lkn niulize uvimbe una tabia ya kujirudia rudia eeh na nifanyeje nipone kbsaa usirudi maan nina history ya kuumwa uvimbe na umekuwa ukipona unarudi mara kwa mara
Wife aliwahi kuwa anasumbuliwa na hiyo ovarian cyst,ilibakia kidogo afanyiwe operation kabla hatujakutana na doctor muungwana.

Alichotuambia hiyo ni side effect ya hizi njia za uzazi wa mpango,kwa upande wa wife ilikuwa vijiti so akasema bora ajifunze tu calender au namna nyingine yoyote.

Akamtoa vile vijiti then akatupa dawa flani ya kienyeji aliitumia wiki tu,huu mwaka wa pili sasa tatizo halijawahi kurudi na lilikuwa linamtesa sana,ilikuwa akianza kuumwa hatulali yaani.
 
Duh me inanichanganya kichwa kbla ya kutimiza lengo yenyewe inaniweka kwa hatari nafikia stage nachoka maan hyo mtoto naye anionei ata huruma kumtafuta kote ukoo still bado ataki kujitokeza inauma
Pole sana na usikate tamaa.
 
Duh me inanichanganya kichwa kbla ya kutimiza lengo yenyewe inaniweka kwa hatari nafikia stage nachoka maan hyo mtoto naye anionei ata huruma kumtafuta kote ukoo still bado ataki kujitokeza inauma
Pole sana je umeolewa?
 
Back
Top Bottom