Kwanza badili mtazamo..(uwe+)
Tengeneza vtual lab yako kwa kutumia vmware / virtual box etc. Kisha install mifumo/os tofautikwaajili ya kifanyia mazoezi
Kuna distribution moja ya linux inaitwa... Kali linux hii ukiipata ina tools nying sana.. Ni wewe kuzimaster.
Kuna online communities nyingi zinazotoa training na peer shairing katika haya maswala.
All the best