Msaada kwa hackers

boyson onlye

JF-Expert Member
Joined
Sep 13, 2015
Posts
1,109
Reaction score
1,398
Wakuu

Nataka nijifinze u hacker so nianze na vitu gani ili nielewe ku hack kwa urahisi or program gani lazima nizifahamu kuhusu ili niwe hacker

Dhununi la kujifunza ni kuongeza maarifa tu kichwani mwangu
 
Python language ni muhimu sana pindi unapoingiza zile pl kwa ajili ya ku-bruteforce
Password kwa kutunia crackstation ambayo ni txt hapo utahitajika kuwa na ujuzi kwenye language ya Paython
So python ni language muhimu kwenye haya mambo ya udukuzi
 
Python language ni muhimu sana pindi unapoingiza zile pl kwa ajili ya ku-bruteforce
Password kwa kutunia crackstation ambayo ni txt hapo utahitajika kuwa na ujuzi kwenye language ya Paython
So python ni language muhimu kwenye haya mambo ya udukuzi
Mkuu hii ni tofauti na computer language
 
Jifunze sql injection.....penetrations nyingi za webaite zinatumia sql injection ninvizuri ujifanyie penetration testing mwenyewe


This is for educational purpose only..I am not liable for any illegal actiona
 
Ahsante mkuu
 
Ndugu zangu mbona mmeshindwa kunisaidia tatizo langu, kila nikimp mtu anakataa kunisaidia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…