Allydasmartboy001
JF-Expert Member
- Jul 14, 2018
- 599
- 206
Habari wakuu nina shida na simu, bajeti yangu ni lak 4 hadi 5 mwisho. Hivi kwa bajeti hii nipata simu gani nzur? Vitu ninavyotaka ni camera nzuri na uwezo wa simu(performance) CHIEF MKWAWA
A20S haina camera nzuri. Imepitwa na A20. Na Kioo chake ni IPS na sio amoled.Bei yake sh ngap
Sawa kiongozA20S haina camera nzuri. Imepitwa na A20. Na Kioo chake ni IPS na sio amoled.
Kabisa mkuu hivi vioo vya IPS chenga sana, kitu super amoled ni display kali sanaA20S haina camera nzuri. Imepitwa na A20. Na Kioo chake ni IPS na sio amoled.