Samahani wakuu kwa anayekijua vizuri chuo cha NIT mazingira ya chuo yapo vipi kwa kusoma, na changamoto atakazo kumbana nazo huyu dogo ni kama zipi?
Maana ameapply hapo anataka kusoma transport and logistic management nyingine ni procurement and logistic management. Ninapenda kujua ili nijipange atakabiliana vipi na hivyo vitu.
Maana ameapply hapo anataka kusoma transport and logistic management nyingine ni procurement and logistic management. Ninapenda kujua ili nijipange atakabiliana vipi na hivyo vitu.