Msaada kwa anayejua kuhusu minada ya magari bandarini

Msaada kwa anayejua kuhusu minada ya magari bandarini

mimibilly

Member
Joined
Aug 1, 2013
Posts
35
Reaction score
10
Kwa anayefahamu kuhusu minada ya magari bandarini naomba anipe ufafanuzi jinsi ya kununua
 
Nilikua nimeandika kwa kirefu sana ila nilipopost nikaambiwa sija login kwahio ikafutika. Nikiwa kwenye pc niambie nikueleze kwa faida yako na kwa faida ya wengine lakini kwa sasa usiende kwa dalali usiemfahamu. Utajuta. Nimenunua magari hapo na kesho naenda tena kuna subaru, jaquar na Daihatsu Na Carina natamani nipate mmojawapo. Mnada ni kesho saa nne
 
Msinitajie mnada wa bandarini, mwezi wa 12 ilibaki kidogo nitapeliwe. Tafadhali kuweni makini sana na pale mahali....jamaa ananiunganisha na mtu ila siruhusiwi kuoanana nae...sitamani kabisa minada ya palex
 
Nilikua nimeandika kwa kirefu sana ila nilipopost nikaambiwa sija login kwahio ikafutika. Nikiwa kwenye pc niambie nikueleze kwa faida yako na kwa faida ya wengine lakini kwa sasa usiende kwa dalali usiemfahamu. Utajuta. Nimenunua magari hapo na kesho naenda tena kuna subaru, jaquar na Daihatsu Na Carina natamani nipate mmojawapo. Mnada ni kesho saa nne
huwaga inafanyika mara kwa mara kwa duration zipi?
 
Msinitajie mnada wa bandarini, mwezi wa 12 ilibaki kidogo nitapeliwe. Tafadhali kuweni makini sana na pale mahali....jamaa ananiunganisha na mtu ila siruhusiwi kuoanana nae...sitamani kabisa minada ya palex

hahahah ilikuaje.?
 
Kwa anayefahamu kuhusu minada ya magari bandarini naomba anipe ufafanuzi jinsi ya kununua

Ukipata taarifa za mnada hakikisha unakuwepo mwenyewe siku ya mnada wala usiunganishwe na mtu.
unaweza kufanya mbinu ya kujua udhaifu wa kila gari hasa yaliyokaa ICD za mtaani ili ukitoa bei ujue cost za maintanance. yafahamu madeni kama ni kodi, wharfage na mengineyo usije kununua deni kuuubwaaa.

Usitumie dalali epuka kutapeliwa
 
huwaga inafanyika mara kwa mara kwa duration zipi?

Mpwa inafanyika mara mbili kwa week Jumatatu na Ijumaaa. Juzi Ijumaaa Nimenunua gari na nimeitoa jana. Usitumie dalali kama hamfahamiani watu wanaibiwa sana sana
 
Ukipata taarifa za mnada hakikisha unakuwepo mwenyewe siku ya mnada wala usiunganishwe na mtu.
unaweza kufanya mbinu ya kujua udhaifu wa kila gari hasa yaliyokaa ICD za mtaani ili ukitoa bei ujue cost za maintanance. yafahamu madeni kama ni kodi, wharfage na mengineyo usije kununua deni kuuubwaaa.

Usitumie dalali epuka kutapeliwa

Mpwa kuna yale ya mnada ambao watu wameshindwa kuyalipia ushuru, ukilinunua unakua ushamalizana nao unakwenda kulipia registration.
 
hahahah ilikuaje.?

Processe yote ilijaa ubabaishaji, kwanza jamaa wanakuambia hairuhusiwi kwenda kuona yale magari yanayotakiwa kupigwa mnada, ukienda kuona watakuambia huruhusiwi kulikagua...mm nilikuwa nahitaji Toyota Surf, kweli nikabahatika kuiona board, ila ndio hivyo sikujua km engine imo au lah!

Ukija kwny malipo jamaa unaongea nae kwa cm anakuambia namtuma kijana aje umpe hela akalipe bank halafu atakuletea receipt, hataki muende wote kulipa kisa bank ipo ndani bandarini na hairuhusiwi kuingia km sio staff....hebu pata picha hapo masai dada utatoa hela yako?😎
 
Last edited by a moderator:
Mpwa inafanyika mara mbili kwa week Jumatatu na Ijumaaa. Juzi Ijumaaa Nimenunua gari na nimeitoa jana. Usitumie dalali kama hamfahamiani watu wanaibiwa sana sana

asante mpwaa
madalali labda uwe unamjua kwa undani wengi matapeli wanakula kiiizi izi tu
 
sitoi hata shing mia nishatapeliwaga yaani hata silu moja sitakaa nimpe mtu ela kabla sipata huduma nikaridhika nayo
Mpwa inafanyika mara mbili kwa week Jumatatu na Ijumaaa. Juzi Ijumaaa Nimenunua gari na nimeitoa jana. Usitumie dalali kama hamfahamiani watu wanaibiwa sana sana

asante mpwaa
madalali labda uwe unamjua kwa undani wengi matapeli wanakula kiiizi izi tu
 
Inakuwa yanauzwa bei gani, mfano hiace inaweza kuwa bei gani au Rav 4
 
Haya ndio matatizo ya nchi yetu. Mazuri wanajibakizia wao. Kwa nini hakuna chombo kinachoweza kuwa wazi ktk kuuza mali kama hizi? Hii ni revenue ya serikali hivyo iwapo watu watakuwa wengi basi na possibility ya kupata bei nzuri na revenue kwa serikali inaongezeka. Hapa niishipo kuna minada ya aina mbili tofauti: Closed: yaani wote tunaona kitu as it is in short time na bei inashuka na mnada wa open: pale ambapo unakuwa na nafasi ya kuingia na kukagua kila kitu utakacho. Minada hii inatangazwa na bei ulipayo ndio final yaani hata taxes zote zishaingia huko. Hakuna madalali wa njaa. Waliopo unaweza kuwaelezea nini unataka na wananunua kwa binafsi yako.
 
Haya ndio matatizo ya nchi yetu. Mazuri wanajibakizia wao. Kwa nini hakuna chombo kinachoweza kuwa wazi ktk kuuza mali kama hizi? Hii ni revenue ya serikali hivyo iwapo watu watakuwa wengi basi na possibility ya kupata bei nzuri na revenue kwa serikali inaongezeka. Hapa niishipo kuna minada ya aina mbili tofauti: Closed: yaani wote tunaona kitu as it is in short time na bei inashuka na mnada wa open: pale ambapo unakuwa na nafasi ya kuingia na kukagua kila kitu utakacho. Minada hii inatangazwa na bei ulipayo ndio final yaani hata taxes zote zishaingia huko. Hakuna madalali wa njaa. Waliopo unaweza kuwaelezea nini unataka na wananunua kwa binafsi yako.

Sasa siku za minada zinatangazwa wapi na lini na ni watu gani wanaruhusiwa?
 
Back
Top Bottom