shamajengo
JF-Expert Member
- Jan 17, 2015
- 1,217
- 1,432
Wakuu Mimi si Fundi wala sina utaalamu wa mambo ya umeme nini kinasababisha feni inachelewa kuwaka ukiwasha afu hata ikiwaka inafanya kazi na kusizi baada ya mda fulani
Japo huja jieleza vizuri vumbi linaweza lika changia sana wakati wa kuzunguka feni kitu cha kwanza ni kifanyia usafi ifungue safisha weka greaseWakuu Mimi si Fundi wala sina utaalamu wa mambo ya umeme nini kinasababisha feni inachelewa kuwaka ukiwasha afu hata ikiwaka inafanya kazi na kusizi baada ya mda fulani
Kwahyo mkuu tofauti na vumbi hamna maana mpaka inatoa harufu as if kunakitu kinaungua kwa ndaniJapo huja jieleza vizuri vumbi linaweza lika changia sana wakati wa kuzungula feni kitu cha kwanza ni kifanyia usafi ifungue safisha weka grease
Ni feni gani? Pangaboy au feni za chini. Kama ni pangaboy inawezekana CAPACITOR imekufa.Wakuu Mimi si Fundi wala sina utaalamu wa mambo ya umeme nini kinasababisha feni inachelewa kuwaka ukiwasha afu hata ikiwaka inafanya kazi na kusizi baada ya mda fulani
Ni winding zimeoverheat hadi insulation ikayeyuka sasa nyaya zimegusana. Hapo inazidi kuungua hadi itapiga shoti kabisa. Tafuta fundi anayesuka motor akuangalizieKwahyo mkuu tofauti na vumbi hamna maana mpaka inatoa harufu as if kunakitu kinaungua kwa ndani
Nashukuru mkuu ntafanya hivoNi winding zimeoverheat hadi insulation ikayeyuka sasa nyaya zimegusana. Hapo inazidi kuungua hadi itapiga shoti kabisa. Tafuta fundi anayesuka motor akuangalizie
Feni ya chini kiongoziNi feni gani? Pangaboy au feni za chini. Kama ni pangaboy inawezekana CAPACITOR imekufa.
Kama ni feni ya chini au za ukutani basi inawezekana brush au coil zina matatizo
kuna chuma maalumu lina zunguka ndiyo hilo unaona feni ina fanyakazi hapo kuna mawili lisipo zunguka coil ambayo imetengenezwa kuzungusha hilo chuma (motor) kama motor haitazunguka coil hiyo itapata moto na kutoa harufu vumbi husababisha feni isizunguke kutokana ukavu (dryness) kwakuwa huna utaalamu peleka kw fundi ama nunua feni nyingineKwahyo mkuu tofauti na vumbi hamna maana mpaka inatoa harufu as if kunakitu kinaungua kwa ndani
Kama ni stand fan basi ile shaft yake inayoshikili hiyo pangaboi itakuwa inauchafu, nunua mafuta amabayo wanatumia washona nguo(mafundi cherahani) shilingi 2000 kama sikosei, halafu kamimine kwenye hiyo shaft pale karibia inapoingia kwenye motor, igemeza kidogo hayo mafuta yaingie ndani upande ambao shaft imeingia ndani ya mota. Itafanya kazi ila baada ya siku kadhaa itajirudia. The permanent solution ni kupeleka kwa fundi afungue na kusafishaWakuu Mimi si Fundi wala sina utaalamu wa mambo ya umeme nini kinasababisha feni inachelewa kuwaka ukiwasha afu hata ikiwaka inafanya kazi na kusizi baada ya mda fulani
Pamoja sana mkuuKama ni stand fan basi ile shaft yake inayoshikili hiyo pangaboi itakuwa inauchafu, nunua mafuta amabayo wanatumia washona nguo(mafundi cherahani) shilingi 2000 kama sikosei, halafu kamimine kwenye hiyo shaft pale karibia inapoingia kwenye motor, igemeza kidogo hayo mafuta yaingie ndani upande ambao shaft imeingia ndani ya mota. Itafanya kazi ila baada ya siku kadhaa itajirudia. The permanent solution ni kupeleka kwa fundi afungue na kusafisha
Aliiweka sana stoo ikapigwa vumbi.shkamoo awamu hiiwalau leo jf imekuwa ya watu wa kipato cha kati mana wote humu walikuwa watumia Ac