Msaada kwa anayefahamu vizuri LED flat screen

thijui mwaya, labda mwombe jk awaite wazungu ili iwe " kwa msaada watu wa marekani"
 
Mkuu hapa ni bei yako tu. Kuna magoma hadi ya Million 50 aisee. Ni vema utaje bei/range ya uwezo wako wataalamu wakupe ushauri na mahala pa kununua aisee.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom