Msaada kwa aliyewahi kuuza deni toka Benki moja kwenda nyingine

Sheikh23

JF-Expert Member
Jul 11, 2016
1,128
1,842
Wakuu habari,kwa mwenye uelewa juu ya masuala ya kibenki au aliyewahi kuuza deni kutoka bank moja kwenda nyingine.

Kiufupi nimeomba loan balance kati ya moja ya bank pendwa ili salio la deni langu lilipwe na benki nyingine inayokuja kwa kasi na yenye riba nafuu,sasa nilichokutana nacho ni kiasi cha 13m kama nitafanya top up kwao,na kiasi cha (14.1m) km nitaenda kuuza deni hilo bank nyingine.

Swali fikirishi kwa mimi nisiyejua masuala ya kibenki/kifedha,tofauti hyo ya 1m ni ya nn?

Jibu toka kwa Manager likawa; ni riba kwa kuwa ninajitoa kwenye bank yao,huwa wanafanya hivyo.

Wakuu hiki kitu kipo au napigwa mchana kweupee,natanguliza shukrani kwenu.
 
Wakuu habari,kwa mwenye uelewa juu ya masuala ya kibenki au aliyewahi kuuza deni kutoka bank moja kwenda nyingine.

Kiufupi nimeomba loan balance kati ya moja ya bank pendwa ili salio la deni langu lilipwe na benki nyingine inayokuja kwa kasi na yenye riba nafuu,sasa nilichokutana nacho ni kiasi cha 13m kama nitafanya top up kwao,na kiasi cha (14.1m) km nitaenda kuuza deni hilo bank nyingine.

Swali fikirishi kwa mimi nisiyejua masuala ya kibenki/kifedha,tofauti hyo ya 1m ni ya nn?

Jibu toka kwa Manager likawa; ni riba kwa kuwa ninajitoa kwenye bank yao,huwa wanafanya hivyo.

Wakuu hiki kitu kipo au napigwa mchana kweupee,natanguliza shukrani kwenu.

Nashauri rejea mkataba wako wa Benki kwenye kipengele cha urejeshaji wa mapema wa mkopo.
Baadhi ya benki, zina masharti tofauti unaporudisha mkopo ndani ya miezi sita ya mwanzo, na baada ya miezi sita.

Ninahisi hiyo mil 1 inaweza kuwa ni riba ya miezi kadhaa ya mbele ambayo benki itapoteza kwa wewe kulipa deni lao mapema. Ni vizuri upitie mkataba wako wa deni.
 
Wakuu habari,kwa mwenye uelewa juu ya masuala ya kibenki au aliyewahi kuuza deni kutoka bank moja kwenda nyingine.

Kiufupi nimeomba loan balance kati ya moja ya bank pendwa ili salio la deni langu lilipwe na benki nyingine inayokuja kwa kasi na yenye riba nafuu,sasa nilichokutana nacho ni kiasi cha 13m kama nitafanya top up kwao,na kiasi cha (14.1m) km nitaenda kuuza deni hilo bank nyingine.

Swali fikirishi kwa mimi nisiyejua masuala ya kibenki/kifedha,tofauti hyo ya 1m ni ya nn?

Jibu toka kwa Manager likawa; ni riba kwa kuwa ninajitoa kwenye bank yao,huwa wanafanya hivyo.

Wakuu hiki kitu kipo au napigwa mchana kweupee,natanguliza shukrani kwenu.
Hapo usitumie akili nyingiiiiiii, mm sio mtu benk na wala sifahamu mambo hayo, ila fanya hivi. Angalia kama ukilipa hilo deni bila kuhamisha je riba itakuwa kubwa kuliko ile unayoongezewa?

Kwa maaana kuna pesa wamekuongezea kwa sababu unahama, sasa fanya rahisi chukua pesa waliokuongezwa jumlisha na riba ya kule benk unapoamisha mkopo wako, ukipata jibu chukua mpoko wako fanya kama unalipa hapa hapa bila kuhama je ipi itakuwa na gharama zaid ukiona kuhama ni gharama achana nako kama ukiona ukiama itakusaidia hama, cjui umenielewa hapo
 
Mkuu hapo ukweli ni kwamba benki mbili zinafanya biashara ya kifedha kupitia deni lako. Benki inayolinunua inabeba na gharama zake zote.

Sijui "status" ya deni lako jinsi ilivyokuwa, lakini kama ume "default" gharama ya deni lako lote ambayo itanunuliwa na benki ya pili itakuwa ni jumla "outstanding balances of principal, normal interest and accrued interest".

Jumla hii itakuwa "capitalized" na hatimaye kufanywa kuwa ndiyo deni jipya katika benki iliyonunua deni lako. Kama deni la mkopo wako si chechefu, na mkopo wako ulikuwa bado haujafikia "maturity period" kuna marekebisho kadhaa yatafika ikiwemo kusamehewa sehemu ya "future interest"

Lakini unapaswa kukumbuka kuwa katika benki iliyonunua deni lako bado wataweka "loan processing fee, loan insurance fee, cost related to valuation of loan security, cost relate to GPR device for motor vehicle and the likes)

Kwa hiyo ongezeko hilo la kama TZS 1Mn Mkuu ni "very fair" na wala hakuna ujanja wowote uliofanyika hapo. Ila jambo la muhimu ni kupata mikataba wako wa mkopo, usome masharti yake yaliyopo ndani yake ili uweze kuuelewa wote kwa kina.
 
Ila mkuu hiyo ni kama charge ya kujitoa yaani unavunja mkataba ndiyo maana kuna cost kidogo, wangeendelea kupata interests kama ungeendelea nao ila unajitoa ndiyo maana wanakupa option uondoke ulipe zaidi ama ubaki ulipe kidogo.

Ila pia due interest hadi muda huo wa bank nyingine kununua deni utakua ushalipa? Isijekua kuna interest wameinclude humo kwenye 14M
 
Iko hivi, deni lako la msingi (Loan principal) ni sh 13M.

Deni hili bado miezi kadhaa mbele,kwa maana kuna riba tarajiwa mbele,

Kama utachukua top up kwao,Utalipa deni la msingi tu (13M)

Kama deni linanunuliwa na benki tofauti basi jtapaswa kulipa riba ya miezi kadhaa (pengine) mitatu ya mbele plus ile 13
 
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣😂😂😂my ribs
Nikajua Financial Services ni mambo ya interest plus capitalization
Plus maacrude interest plus makes plus mainsurance plus machakula ya MENEJA, ofisa ,mfagiaji ,account processing fees,and initial investment 🤸‍♂️🤸‍♂️🤸‍♂️🤸‍♂️🤸‍♂️🤸‍♂️🤾‍♂️🤾‍♂️🤾‍♂️
 
Na mimi naomba kujua wakuu, nataka kuchukua pesa kutoka bank X kiasi cha Tsh 12M na ninatazamia kuwambia wanikate kwa muda wa miezi minne, lakini huko ninakopeleka hiyo pesa yao nina uhakika within 4months nitakuwa na uwezo wa kuwalipa pesa yao yote na mimi kufunguana nao mashati(kuachana nao ) kabisa. Naomba kujua nitawalipa pesa kiasi gani makato yao pamoja na faida yao.
 
Sema huaminifu n mdogo kwa wateja.
Ungeweza chukua pesa kule bank A unakuja kulipa bank B kwa barua tuu kwamba utaki Tena mkopo
 
Na mimi naomba kujua wakuu, nataka kuchukua pesa kutoka bank X kiasi cha Tsh 12M na ninatazamia kuwambia wanikate kwa muda wa miezi minne, lakini huko ninakopeleka hiyo pesa yao nina uhakika within 4months nitakuwa na uwezo wa kuwalipa pesa yao yote na mimi kufunguana nao mashati(kuachana nao ) kabisa. Naomba kujua nitawalipa pesa kiasi gani makato yao pamoja na faida yao.
Vyovyote itakavyo kuwa inatakiwa isizidi 1M kwasabab ni mkopo wa muda mfupi sana. Kwahio unaweza rejesha jumla 13M
 
Nikajua Financial Services ni mambo ya interest plus capitalization
Plus maacrude interest plus makes plus mainsurance plus machakula ya MENEJA, ofisa ,mfagiaji ,account processing fees,and initial investment 🤸‍♂️🤸‍♂️🤸‍♂️🤸‍♂️🤸‍♂️🤸‍♂️🤾‍♂️🤾‍♂️🤾‍♂️
Nipo nalima zangu mboga mboga huku Sumbawanga mkuu😂😂
 
Back
Top Bottom