Mwasandembwa
Member
- Apr 24, 2012
- 72
- 14
Ndugu zangu wanajamvi nna shida sana na hiyo app yaitwa PdF au adobe lakini kila niitafutapo naambiwa nilipie, hiv hakuna njia nyingine ya kuipata pasi na kulipia kibaya zaidi wataka nilipie kwa kuandika namba za kadi ya benki, hapo nakosa imani kabisa. Naomba msaaba wenu natumia bbry curve.