Mnyakilambo7
Member
- Oct 15, 2014
- 63
- 27
Habarini wakuu.
Ninatumia simu tajwa hapo juu ambayo niliinunua kwa kampuni moja ya simu nchini, sasa kwa sehemu niliyopo saizi hakuna huduma ya 3G kwa huo mtandao, lakini umekuja huu mtandao wa Halotel una huduma hiyo ya 3G, nataka nii'unlock nitumie Halotel lakin sehem yenyew nmekosa hata mafundi wa kufanya hivo.
Ombi langu wanaJF kama kuna application yoyote naweza kutumia nikaweza kui'unlock mwenyew pls, na km kuna Alternative yoyote mnaweza kunisaidia, Msaada please..
Natanguliza shukrani.
Ninatumia simu tajwa hapo juu ambayo niliinunua kwa kampuni moja ya simu nchini, sasa kwa sehemu niliyopo saizi hakuna huduma ya 3G kwa huo mtandao, lakini umekuja huu mtandao wa Halotel una huduma hiyo ya 3G, nataka nii'unlock nitumie Halotel lakin sehem yenyew nmekosa hata mafundi wa kufanya hivo.
Ombi langu wanaJF kama kuna application yoyote naweza kutumia nikaweza kui'unlock mwenyew pls, na km kuna Alternative yoyote mnaweza kunisaidia, Msaada please..
Natanguliza shukrani.