Msaada kutoka "TUKI".

lil wayne

JF-Expert Member
Apr 15, 2016
992
904
Wasalaamu wanajamvi.

Ninaelewa hapa pana wataalamu &na wajuzi kutoka TUKI. Vinginevyo hata kwa aliye yeyote.

Nina hitaji la Kamusi ya Lugha ya Kiswahili yenye vidahizi(maneno), misamiati na Tafsiri zake kwenye lugha hadhimu ya Kiswahili tu.

Mwenye kujua zaidi mahala panapo patikana hii Kamusi anijulishe ili nikainunue.

Shukrani!
 

Similar Discussions

0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom