Lofawamali
JF-Expert Member
- Jun 9, 2014
- 304
- 146
Mambo wadau eti nilikua nauliza kama kuna uwezekano wowote wa kua verified member kwenye websites ambazo zna limitation access i mean inabidi uilipie then ndo uitumie
Je kuna mwenye idea yoyote au mwenye ambaye ashawahi kufanya hlo jaribio mana kias cha kujiregister ni kikubwa sana hvyo inanilazimu kulipia kias kikubwa cha pesa kwa kutumia online payment.Kama visa card na zngnezo kama kuna maseke yoyote yanaweza kufanyika nifaham mana u never know.
Je kuna mwenye idea yoyote au mwenye ambaye ashawahi kufanya hlo jaribio mana kias cha kujiregister ni kikubwa sana hvyo inanilazimu kulipia kias kikubwa cha pesa kwa kutumia online payment.Kama visa card na zngnezo kama kuna maseke yoyote yanaweza kufanyika nifaham mana u never know.