JAPHA ED
JF-Expert Member
- Aug 17, 2016
- 795
- 1,229
Vizuri sana aisee hongera ulipambana haswaNilikuwa natafuta full cheti.
Nilikuwa natafuta full cheti. Masomi 8. Nilipata BCCCCCDD.
Vizuri sana aisee hongera ulipambana haswaNilikuwa natafuta full cheti.
Nilikuwa natafuta full cheti. Masomi 8. Nilipata BCCCCCDD.
Vizuri sana aisee hongera ulipambana haswa
Tatizo mimi naona ni wengi kutokua serious na pia kuchukulia kama walishapitia huko wanaona ni kama wanaelewa kila kitu pia wengine ni kutokana na kuwa na majukumu mengi.Japo sasa nasoma, lla sidhani kama itatokea mimi kupiga msuli kama ule wa kurisiti.
RESITORS wengi hawajitumi.
nikijitolea Mimi mfano, kwa mwaka 2016, nilifanya mitihani ya kujipima zaidi ya 70. Na baadhi ya niliosoma nao hawajafanya mtihani wa kujipima hata mmoja.
Nilikuwa natafuta full cheti.
Nilikuwa natafuta full cheti. Masomi 8. Nilipata BCCCCCDD.
Unarudia nasomo kwa idadi unayota na uliyofanya vibayaWadau wa elimu,
Naombeni kupewa utaratibu wa kurisiti kwa sasa mtihani wa kidato cha nne.Mimi nilikuwa naujua utaratibu wa zamani ambapo mtu alikuwa akirisiti mitihani idadi anayoitaka ili kusafisha cheti chake kama ambavyo aliona inawezekana.Sasa nasikia kuna mabadiliko kwenye sheria na utaratibu wa kurisiti ambao bado sijaujua.Nina wadogo zangu wanataka kurisiti sasa wananitaka ushauri na kwakuwa nawafahamu uwezo wao siwezi kuwashauri chochote mpaka nitakapojua utaratibu wa kurisiti,idadi ya masomo ya kurisiti,kama cheti cha kwanza kinafutwa au hakifutwi ila unareplace failed subjects na mengine ambayo yanahusiana.
Nawakaribisha sana kwa msaada tafadhali.
Pc na scMtihan ni mmoja tu
Kuna usemi kuwa Pc unafanya mitihani miwili ya {Both School and Private Candidates} na kuna ya Private only tena je hii ni kweli??
Unarudia nasomo kwa idadi unayota na uliyofanya vibaya
Mfano masomo 3 au 5 au 9
mkuu ukiresit unaweza ukaenda vyuo vya diploma vya serikali?Utaratibu huo uliisha mwaka 2015.
Sasa ni mtihani mmoja mnafanya wote. PC NA SCHOOL.
Nilirisiti 2016, Nikafanikiwa vizuri. Ila siwezi sahau ule msuli wa kusoma kukabiliana..........
Hapa mm ndo sielewagi, kuna wengine wanasema unaweza kusoma diploma na wengine kama mm tunasema uanze na certificate au urudie form four ili upate alama za kwenda 5 na 6.Wakubwa me nna D 6 naom
beni ushauri