MSAADA:Kurisiti form four

Wamtaa huu

Senior Member
Jan 21, 2011
168
55
Wadau wa elimu,
Naombeni kupewa utaratibu wa kurisiti kwa sasa mtihani wa kidato cha nne.Mimi nilikuwa naujua utaratibu wa zamani ambapo mtu alikuwa akirisiti mitihani idadi anayoitaka ili kusafisha cheti chake kama ambavyo aliona inawezekana.Sasa nasikia kuna mabadiliko kwenye sheria na utaratibu wa kurisiti ambao bado sijaujua.Nina wadogo zangu wanataka kurisiti sasa wananitaka ushauri na kwakuwa nawafahamu uwezo wao siwezi kuwashauri chochote mpaka nitakapojua utaratibu wa kurisiti,idadi ya masomo ya kurisiti,kama cheti cha kwanza kinafutwa au hakifutwi ila unareplace failed subjects na mengine ambayo yanahusiana.
Nawakaribisha sana kwa msaada tafadhali.
 
mi sikushauri u resete coz probability ya kufaulu ni ndogo kama mchanga na kufeli ni kubwa kama tofali tafuta hata college yoyote ujiendeleze usipoteze muda kureset ni hayo tu
 
mi sikushauri u resete coz probability ya kufaulu ni ndogo kama mchanga na kufeli ni kubwa kama tofali tafuta hata college yoyote ujiendeleze usipoteze muda kureset ni hayo tu

Ushauri utazingatiwa mkuu.Lakini nahitaji kuelewa utaratibu,sheria na kanuni za kurisiti ili niweze kuwa kwenye nafasi nzuri ya kuwashauri hao wadogo zangu.Thanks for your response
 
Kurisiti ni nadra sana kupata ila inategemea km una moyo wa kurisiti, ukubali yote kupata au kukosa ila kama hutaki presha bora utafute tu chuo. Cos kunarafiki yng karisiti miaka minne sasa hivi keshapata na yuko anasubiria matokeo ya for six!!!! So km na wewe una moyo huo unaweza kurisiti ila km huna achana kbs na kurisiti kwanza inauma sana kukosa
 
Utatumia vyeti viwili' I mean unarisiti yale tu unayotaka. Haina haja ya kurisiti masomo yote, mi nilirisiti 2009 masomo matatu tu na sasa hivi nasubiria majibu form six na nimetumia vyeti viwili,
 
Utatumia vyeti viwili' I mean unarisiti yale tu unayotaka. Haina haja ya kurisiti masomo yote, mi nilirisiti 2009 masomo matatu tu na sasa hivi nasubiria majibu form six na nimetumia vyeti viwili,

Thanx viane!Nilisikia kuwa utaratibu wa kurisiti idadi ya masomo unayotaka imebadilishwa,kwamba kwa sasa ni lazima ufanye idadi fulani ya masomo na cheti cha kwanza kinakuwa invalid!Hili likoje mkuu
 
Utatumia vyeti viwili' I mean unarisiti yale tu unayotaka. Haina haja ya kurisiti masomo yote, mi nilirisiti 2009 masomo matatu tu na sasa hivi nasubiria majibu form six na nimetumia vyeti viwili,

Utaratibu umebadilika hataweza tena kutumia vyeti vya kuunga unga.Vyuo vya Umma kwa sasa wanaangalia backing ground yako kielimu i mean kidato cha 4 uli perform vp,na hata ktk ajira wa kuunga unga sasahivi hawana soko! 2009 ndo mwisho wa utaratibu huo wa LUNDO LA VYETI VYENYE UFAULU KIDUUUCHU
 
Nilitegemea zaidi ya hayo kutokana na username yako.Utaratibu wa kurisiti ukoje kwa sasa mheshimiwa?

Ni bora unisaidie ndugu yangu kumrudisha headteacher kwenye mada.Hata hivyo nashukuru headteacher kwa kamchango chako
 
Utaratibu umebadilika hataweza tena kutumia vyeti vya kuunga unga.Vyuo vya Umma kwa sasa wanaangalia backing ground yako kielimu i mean kidato cha 4 uli perform vp,na hata ktk ajira wa kuunga unga sasahivi hawana soko! 2009 ndo mwisho wa utaratibu huo wa LUNDO LA VYETI VYENYE UFAULU KIDUUUCHU

Thanx mkuu,utaratibu wa kurisiti kwa sasa ni upi baada ya hayo mabadiliko mkuu?
 
Utatumia vyeti viwili' I mean unarisiti yale tu unayotaka. Haina haja ya kurisiti masomo yote, mi nilirisiti 2009 masomo matatu tu na sasa hivi nasubiria majibu form six na nimetumia vyeti viwili,


je kwa wale wanao rudia (resit) unakuta mtu alikua ana D tatu sasa akaamua kurudia somo moja au mawili somo moja akapata D' kwa jumla na zile tatu ni nne je anaweza kujiunga na chuo?
 
C kaz sana ! Katika hatua y kuristi Bali ni muda Wa cku moja tu utakuwa umekamilisha usajiri yani Ipo hv-
Hatua y kwanza kuchukua namba ya kituo unachofanyia mtihani then utapelek posta kwenda kuripia ada y mtihani baada y hp , utapewa risit y kulipia baada y hpo fomu itatumwa ili kudhibitisha kuwa umechaguliwa na juu y masomo n wewe utachagua lkn hata ukifany moj gharam n ile ile sema tofaut masom yny practical n elfu kumi kw practical moja na sasa ni mtihani mmoja na yn both school and private candidates
 
C kaz sana ! Katika hatua y kuristi Bali ni muda Wa cku moja tu utakuwa umekamilisha usajiri yani Ipo hv-
Hatua y kwanza kuchukua namba ya kituo unachofanyia mtihani then utapelek posta kwenda kuripia ada y mtihani baada y hp , utapewa risit y kulipia baada y hpo fomu itatumwa ili kudhibitisha kuwa umechaguliwa na juu y masomo n wewe utachagua lkn hata ukifany moj gharam n ile ile sema tofaut masom yny practical n elfu kumi kw practical moja na sasa ni mtihani mmoja na yn both school and private candidates
Kuna usemi kuwa Pc unafanya mitihani miwili ya {Both School and Private Candidates} na kuna ya Private only tena je hii ni kweli??
 
Humu watu hawaelew hivi vitu, ukirisit unachagua idadi ya masomo yoyote unayotaka, then unaweza kuunganisha vyeti, mean kutumia vyeti viwil, kinachoreplace ni ufaulu tu sio failed subjects.


Kama hujaelewa uliza tena
 
6dfe9f816fdec5563bbcaff7326f5339.jpg
 
Kuna usemi kuwa Pc unafanya mitihani miwili ya {Both School and Private Candidates} na kuna ya Private only tena je hii ni kweli??
Utaratibu huo uliisha mwaka 2015.
Sasa ni mtihani mmoja mnafanya wote. PC NA SCHOOL.
Nilirisiti 2016, Nikafanikiwa vizuri. Ila siwezi sahau ule msuli wa kusoma kukabiliana..........
 
Utaratibu huo uliisha mwaka 2015.
Sasa ni mtihani mmoja mnafanya wote. PC NA SCHOOL.
Nilirisiti 2016, Nikafanikiwa vizuri. Ila siwezi sahau ule msuli wa kusoma kukabiliana..........
Vipi ulikuwa unatafuta credit ngapi na ulirudia masomo mangapi mkuu
 
Back
Top Bottom