Nipo Dar, kifupi nahitaji mazao ya aina tofauti kununua/kuuza DUNIANI. Niliambiwa kuna link inayowaunganiasha watu wa aina hiyo japo aliyeniambia aliisahau.Unapatikana wapi?
Unataka mazao gani?
Ninayo.com kwa tz, Hiyo ya duniani labda mpaka uongee na trumpNipo Dar, kifupi nahitaji mazao ya aina tofauti kununua/kuuza DUNIANI. Niliambiwa kuna link inayowaunganiasha watu wa aina hiyo japo aliyeniambia aliisahau.
Ok mkuu thanks, nitaanzia hapoNinayo.com kwa tz, Hiyo ya duniani labda mpaka uongee na trump