habarini za asubui nilikuwa na shida moja ivi siwezi ku convert dynamic ip address nayopewa na isp kuwa static ip? na kama haiwezekani. nawezaje pata static ip address na bei inakuwaje? pia ni mitandao gani wanatoa izo huduma na malipo inakuwa kwa muda gani?
Ttcl natumia ofsini haina ya kulipia kwa mwezi.. Kuna gharama kidogo tu wakati wa kujiunga skumbuki ilikuwa kias gani sababu ni mda sasa natumia na iko poa..habarini za asubui nilikuwa na shida moja ivi siwezi ku convert dynamic ip address nayopewa na isp kuwa static ip? na kama haiwezekani. nawezaje pata static ip address na bei inakuwaje? pia ni mitandao gani wanatoa izo huduma na malipo inakuwa kwa muda gani?
Ttcl natumia ofsini haina ya kulipia kwa mwezi.. Kuna gharama kidogo tu wakati wa kujiunga skumbuki ilikuwa kias gani sababu ni mda sasa natumia na iko poa..
iyo ya smile wanatoa ni ethernet cable au ni wanatoa wireless modem?
Connection ya kutoka ttcl wanakuunganisha na laini yao ya simu (skuizi wa fiber pia nahisi ila ni gharama). kwenye laini hiyo ndo wanakupa na internet ambayo ukiomba wanakupa na static ip... Sasa jinsi gani wewe unaconnect kwenye hiyo internet inategemea na mahitaji yako unaweza tumia wireless au cable kwa kutumia routeryenyewe ni cable modem au wireles modem? na kama mpaka uvute kwao cable mimi ambae niko umbali kama 10KM na cable zao zilipopita haitakuwa gharama sana
Niliwahi wafata hao Smile wakasema lazima ununue kifurushi cha cha miezi sita if not Mwaka ndo wanakupa Static IP adress kwa hiyo sijui 25$Smile, 50000 kwa miezi sita....
Of course kumiliki hiyo public IP address ambayo nadhani mdau anayoita static IP address ni very expensive kama mmiliki sio corporate company.Niliwahi wafata hao Smile wakasema lazima ununue kifurushi cha cha miezi sita if not Mwaka ndo wanakupa Static IP adress kwa hiyo sijui 25$
Kwa hesabu za haraka kwa hayo madai ya kuwa na kifurushi cha kuanzia cha kuwadhibitishia utakua long term customer,hesabu zilikua zinakuja mpaka around 1 Million TZS plus VAT na hiyo ilikua kwa kifurushi ambacho ndo the cheapest.
This was back in 2014 sijui kama wame change huo utaratibu japo najua package zao zitakua zimeshuka bei hivo ukinunua pack ya miezi sita kwa sasa haiwezi fika hiyo bei!
Niliwahi wafata hao Smile wakasema lazima ununue kifurushi cha cha miezi sita if not Mwaka ndo wanakupa Static IP adress kwa hiyo sijui 25$
Kwa hesabu za haraka kwa hayo madai ya kuwa na kifurushi cha kuanzia cha kuwadhibitishia utakua long term customer,hesabu zilikua zinakuja mpaka around 1 Million TZS plus VAT na hiyo ilikua kwa kifurushi ambacho ndo the cheapest.
This was back in 2014 sijui kama wame change huo utaratibu japo najua package zao zitakua zimeshuka bei hivo ukinunua pack ya miezi sita kwa sasa haiwezi fika hiyo bei!
Of course kumiliki hiyo public address ambayo nadhani mdau anayoita static IP address ni very expensive kama mmiliki sio corporate company.
Ndio public IP ni 50,000/= ila wanakutaka ufanye deposit ya kifurushi cha internet cha miezi sita mpaka Mwaka.Wali legeze mzee. Mie mwaka jana wote nimetumia smile kwa gharama ya 50 elfu kwa miezi sita, then ukitaka unaongeza
Huo utaratibu hakuna tena. Mie nilinunua device yao, wakanipa mwezi mzima bundle la bule ( free ) kwa speed ya 6 mb/s. nikaipa 50 elfu nyingine wakanipa hiyo public IP..Ndio public IP ni 50,000/= ila wanakutaka ufanye deposit ya kifurushi cha internet cha miezi sita mpaka Mwaka.
Je huu utaratibu hamna tena?