Msaada: Kuongeza internal memory ya android tablet

Msaada: Kuongeza internal memory ya android tablet

fundibenz

Member
Joined
Jul 31, 2015
Posts
61
Reaction score
67
Habari,
Kuna software inabidi niweke kwenye android tablet bahati mbaya nikanunua tablet kabla software haijaja, inahitaji tablet yenye Gb 16, mimi yangu ina 8 GB hiyo baadhi ya updates zinagoma kuingia.

Nimeweka memory card 4Gb sasa nataka kuifanya iwe internal.
Nahitaji mtaalamu wa hii kazi, niko tayari kulipia gharama za kazi /muda.
 
jibu maswali haya.
1. jina la hio tablet full, na model yake nenda setting then about kuona model.
2. android version ya hio tablet, nenda setting then about pia utaikuta huko.
 
Chief Mkwawa,
Device name: Galaxy tab A
Model no: SM P 555
Android version: 5.0.2
 
jibu maswali haya.
1. jina la hio tablet full, na model yake nenda setting then about kuona model.
2. android version ya hio tablet, nenda setting then about pia utaikuta huko.
Device name: Galaxy tab A
Model no: SM P 555
Android version: 5.0.2
 
Chief Mkwawa,
Device name: Galaxy tab A
Model no: SM P 555
Android version: 5.0.2
hii Tablet inapata official android 6 update, iupdate kwanza

kuna feature ya android 6 ambayo unaiconvert memory card kwenda internal memory inaitwa adoptable storage tumia hio.

sema kama memory card ipo slow itazingua, inabidi utafute memory card yenye speed kubwa.

pia samsung by default wameieka off adoptable storage itabidi utumie mlango wa uwani soma zaidi hapa,

Enable Adoptable Storage for Galaxy S7 and S7 Edge
 
Chief nilikuwa nina i update, imeniandikia hv
a4e1158ff5e92e499a9a6368bed04bc0.jpg
 
Chief mkwawa nisaidie nami niweze kuongeza internal storage kwa simu yangu TECNO W4 sijairoot lkn km kuna uwezekano nisaidie .

Sent from my TECNO_W4 using JamiiForums mobile app
 
Asamte chief nitafuata mwongozo ,pia km kuna uwezekano naomba unisaidie namna ya kuroot tecno W4 ambayo android yake ni 6.0 ,nimejaribu kwa kingroot nimeshindwa kwa kingoroot nimeshindwa ,nimejaribu framaroot ndo kabisa hata step ya mbele haioneshi mwelekeo ,km kuna uwezekano nisaidie CC Chief mkwawa

Sent from my TECNO_W4 using JamiiForums mobile app
 
Asamte chief nitafuata mwongozo ,pia km kuna uwezekano naomba unisaidie namna ya kuroot tecno W4 ambayo android yake ni 6.0 ,nimejaribu kwa kingroot nimeshindwa kwa kingoroot nimeshindwa ,nimejaribu framaroot ndo kabisa hata step ya mbele haioneshi mwelekeo ,km kuna uwezekano nisaidie CC Chief mkwawa

Sent from my TECNO_W4 using JamiiForums mobile app

How to root Tecno W4

tutorial ninayoiona ni ya kutumia pc, sijui kama ipo direct root ya app za simu.
 
Nimeiona but ni njia ndefu sana hapa kuna mawili kufaulu na kufeli maana kuflash simu km tecno hizi w4 or w3 ni ngumu sana sometimes naogopa kuua simu

Sent from my TECNO_W4 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom