Msaada kuondoa Hichi Kiduara

Gushleviv

JF-Expert Member
Joined
Mar 14, 2011
Posts
3,457
Reaction score
5,322
Habari wadau..yeyote anaeweza kunisaidia kutoa hicho kiduara kwenye simu yangu , kinatokea kila ninapotap. Simu ni SamsungA01.
cc Chief-Mkwawa

 
Imekaa kama Accessibility setting hivi zile za walemavu.

Nenda setting Kisha accessibility kisha something interaction ama assist menu, angalia humu ndani somewhere Uta switch off
Ngoja nicheki hiyo option
 
Imekaa kama Accessibility setting hivi zile za walemavu.

Nenda setting Kisha accessibility kisha something interaction ama assist menu, angalia humu ndani somewhere Uta switch off
Nimefanikiwa Mkuu kama ulivyoelekeza...Asante sanaa.
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…