Mastabenja
Member
- Mar 23, 2012
- 25
- 6
Habar wana jf naombeni msaada nataka kununua desk top used nifahamisheni yafuatayo maana mi siyo mtaalamu kabisg wa mambo haya
1.ni mambo gani ya juangalia ili upate mashine nzuri_mambo ya ram,hd ,pentium nayapatapata kwa mbali sana nahitaji kujuzwa zaidi
2.ntapata maeneo gani mjini dsm
3.niandae kama kiasi gani
1.ni mambo gani ya juangalia ili upate mashine nzuri_mambo ya ram,hd ,pentium nayapatapata kwa mbali sana nahitaji kujuzwa zaidi
2.ntapata maeneo gani mjini dsm
3.niandae kama kiasi gani