TIASSA
JF-Expert Member
- Jun 17, 2014
- 2,893
- 3,423
Habari wakuu
Kuna kuku tulimpa Mayai 13 Atamie. Ila cha ajabu ametotoa vifaranga 2. Siku ya jumanne, leo siku ya ijumaa kwanzia asubuhi hataki Tena kutamia , shida ninini?
Je haya Mayai 11 yaliyobaki tunaweza kuhamishia kwa kuku wengine wanao tamia?
Kuna kuku tulimpa Mayai 13 Atamie. Ila cha ajabu ametotoa vifaranga 2. Siku ya jumanne, leo siku ya ijumaa kwanzia asubuhi hataki Tena kutamia , shida ninini?
Je haya Mayai 11 yaliyobaki tunaweza kuhamishia kwa kuku wengine wanao tamia?