ukitoka ubungo panda gari ya mbagala shukia uhasibu kisha unachukua gari za mbagala posta unashukia kurasini au unachukua gari za posta ukifika posta unachukua gari za mbagala unashukia bandari... kwingine wapi mkuu unaulizia?
Naomba mtu ani elekeze kwenda kurasini.kama ukitokea ubungo au tabata- segerea ni pande gari za wapi na nishuke kituo gani.asante