1gb
JF-Expert Member
- Jun 30, 2013
- 2,129
- 2,765
hiyo roho ng'ang'anizi sii mchezo, mpk ikulegeze hio jogoo ndo uone madhara yake,na ukishaanza kuona madhara unatamani uache,kuacha inakuwa ngumu sana,utaacha kwa wiki ,,mwezi umejutahidi...ukitizama tuu porn,unajikuta ushaingia mchezoni.
yaani haina tofauti na wavuta sigara,na wanywaji wa pombe wanavyopata shida kuacha.
.
Nakuonea sana huruma yashawai kunikumba zamani ila wee umezidi,bao 6???
nilihanga1ka sana kuacha ,,,finaly niliweza mpk sasa sitamani,ushetani kama, huo maana nilisha gundua kuwa ni Roho kamili ya kishetani,iki kung'ang'ania,kuchomoka basi unatumia muda mrefuu saaana.
Mungu akusaidie.
Pole sana mdogo wangu.
Fuata shauri hapo juu.
yaani haina tofauti na wavuta sigara,na wanywaji wa pombe wanavyopata shida kuacha.
.
Nakuonea sana huruma yashawai kunikumba zamani ila wee umezidi,bao 6???
nilihanga1ka sana kuacha ,,,finaly niliweza mpk sasa sitamani,ushetani kama, huo maana nilisha gundua kuwa ni Roho kamili ya kishetani,iki kung'ang'ania,kuchomoka basi unatumia muda mrefuu saaana.
Mungu akusaidie.
Pole sana mdogo wangu.
Fuata shauri hapo juu.