mamulisios
New Member
- Jul 3, 2016
- 4
- 0
Jamani nsaidieni ktk kipengele cha data za form four kwenye ile fomu ya mkopo hapafungui kwanini msaada jamn
Kutana na masikin jeur kikikiWe Kama unajua ciutoe maelekezo watsap kwann
Weka picha kwenye computer yako...... Then right click, nenda kwenye option ya edit.Picha inagoma jamani anaye jua atoe msaada hapa tafadhali
Aksante Rafiki nimefanya hivyo na imekubali.Weka picha kwenye computer yako...... Then right click, nenda kwenye option ya edit.
Ingia hapo picha yako italoadiwa then tafuta sehem imeandika resize.
Km kuna sehem imeandika percentage na nyingine pixels, click kwenye pixels halaf type 150 kwa 120 weka ok then save kwa jina unalotaka.
I..upload hiyo picha itakubali tu.
Km kuna shida unasema.
Usijali mkuu yupo hapa kusaidiaAksante Rafiki nimefanya hivyo na imekubali.
Mungu akubariki sana
Poa mkuuUsijali mkuu yupo hapa kusaidia
Ndiyo mkuu,omba mapema naona tarehe zinakaribia. Lakini pia jitafakari kuna ishu ya GPA ya 3.5Vipi wakuu, kama nimesoma diploma na sasa nataka kusoma degree.. vipi naruhusiwa kuomba mkopo?
Assnte sana kaka, kihusu GPA hakuna shaka, nina 4.3Ndiyo mkuu,omba mapema naona tarehe zinakaribia. Lakini pia jitafakari kuna ishu ya GPA ya 3.5
Hongera na anza kuapply kesho mkuu wangu. Nakutakia kila LA kheri.Assnte sana kaka, kihusu GPA hakuna shaka, nina 4.3