BALAGASHIA
JF-Expert Member
- Jan 21, 2017
- 392
- 383
Haisomi lainiKufungua nini maana picha sijaiona kwangu, toa tu maelezo tusaidiane
Ni simu kiongoziUna uhakika hiyo ni simu au ni Luku Meter?
Unaweza ukanisaidia kupata msaada wa kuifunguaSPD hiyo, tuma imei zake kwenda namba 15090 za TCRA na utaambiwa simu yako ni bandia na imefungiwa japo kama unataka kufanya ubishi inaweza kurudi hewani.
Hapo Juu nimeona Imeandikwa CDMA wewe utakuwa umeka SIM CARD ya GSM haiwezi kusoma
Niweke ipiHapo Juu nimeona Imeandikwa CDMA wewe utakuwa umeka SIM CARD ya GSM haiwezi kusoma
CDMA ndo kadi gani?Hapo Juu nimeona Imeandikwa CDMA wewe utakuwa umeka SIM CARD ya GSM haiwezi kusoma
Weka ya CDMA Nenda TTCL ama ZANTEL hao wanazo line za CDMANiweke ipi
Hiyo simu inatumia mfumo wa CDMA na siyo mfumo wa GSMCDMA ndo kadi gani?
Asante kwa ushauri naomba niufanyie kaziHiyo simu inatumia mfumo wa CDMA na siyo mfumo wa GSM
KaribuAsante kwa ushauri naomba niufanyie kazi
Inamaana haiwezi kusoma aina nyingine ya LAINI?Karibu
Haiwezi lazima utumie CDMA SIM CARD with a Big NOInamaana haiwezi kusoma aina nyingine ya LAINI?