Showio
JF-Expert Member
- May 16, 2019
- 255
- 481
Wako vizuri sana watafute freelancer wao uwapoze hela ya chai wakuuzie chip ya chuo kwa maanaDATA KAMA LOTE sema speed ya CHURA
[/Hebu naomba unionyeshe bei zao na MB wanazotoa na muda wa vifurushi
Wako vizuri sana watafute freelancer wao uwapoze hela ya chai wakuuzie chip ya chuo kwa maanaDATA KAMA LOTE sema speed ya CHURA
[/Hebu naomba unionyeshe bei zao na MB wanazotoa na muda wa vifurushi
Wanatoa MB ngapi na kwa muda gani?Kwa laini ya airtel ya kawaida piga *149*81#